Sio rahisi katika maisha yenu ya ndoa akawa ametongozwa na mtu huyo mmoja tu!!! Nina maana kwamba kama alishawahi kukwambii wengine!! Asikudanganye mtu, hakuna mwanamke ambaye hatongozwi. Kwa hiyo kutongozwa sio kosa, bali kosa ni kumvulia c***p mtu ambaye sio mume wake. Aidha, walishafanya mchezo mchafu, halafu wakagundua kuwa umeshtukia deal sasa wana-neutralize ili ujue jamaa bado anaimbisha. Je, ujumbe wa mwanaume kuja kwa mkeo uliukuta kwnye inbox?
Wewe shughulika na mkeo tu, achana na third party maana huna ushahidi kuthibitisha kama kweli anamsumbua.