Wife kaninunia tena.

Mimi ndio mkorofi mzee[emoji23][emoji23] nikifanya hivyo nitakua namuonea
Muombe msamaha, mchekeshe, msifie sifie, Kama nyonyo limeharibika msifie msambwanda....la sivyo huyo kaliweka rohoni, na siku akikutana na mjuba akamsifia anapenda manyonyo makubwa.....umeishaaaa!
Ziba Ufa mapema.
 
Ficha upumbavu wako

Issue za ndani ni zandani

Unaaibisha wanaume sana we bwege
 
Muombe msamaha, mchekeshe, msifie sifie, Kama nyonyo limeharibika msifie msambwanda....la sivyo huyo kaliweka rohoni, na siku akikutana na mjuba akamsifia anapenda manyonyo makubwa.....umeishaaaa!
Ziba Ufa mapema.

Interesting
 
Toroka urudi kwa mama yako.Mkomeshe!
 
Mandingo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..... dah
 
Mbna atafurahishwaaa soon, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani yeye ni umoja??
Raha ya umoja iwe namba kubwa hadi ikufunike uso ushindwe kupumua uzimie ufe mkeo abaki mjane aolewe narafiki ako
 
Kiserengeti chenye ndefu nene siyo?πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…