Kabila please😊Nahitaji mdada aliye siriasi kabisa na mahitaji ya kuwa mke wa mtu:
Sifa zangu:
Miaka 40
Elimu : shahada ya kwanza
Dini : mkristo ( mkatoliki)
Kazi : mtumishi wa umma pia mjasiriamali
Location : Dar Es salaam
Mchumba awe angalau na sifa hizi
1. Awe mkristo ispokuwa msabatho
2. Umri kuanzia miaka 30 mpaka 38
3. Kazi awe nayo au asiwe nayo haina shida
4. Elimu walau kidato cha nne
Mengine ni maelewano na kujifunza maana kila kitu kinawezekana
Karibu I
Huyu accountant anazicha fursa zinapita tuufinancial services wee dada kipenzii njoo hapa, huendaa tukawa na harusi huu mwaka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1. Awe mkristo ispokuwa msabatho
Hawa Wana masharti magumu sana kuishi nao bado wapo enzi za kutaka kuishi kama wayahudi !
Hawa Wana masharti magumu sana kuishi nao bado wapo enzi za kutaka kuishi kama wayahudi !
Utafia kifuani kenge wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]5.Awe tayari kugongana muda wowote bila usumbufu. Hii sifa ni wakati sasa iongezewe kwenye waraka wa kutafta wake wa kuoa.
Ndyooooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bishara matangazo! Hata ndoa hufungwa hadharani
Waoh!!🤗Sio sitaki kuwa m
Very handsome
Kama nimekidhi hivi vigezo[emoji17]Nahitaji mdada aliye siriasi kabisa na mahitaji ya kuwa mke wa mtu:
Sifa zangu:
Miaka 40
Elimu : shahada ya kwanza
Dini : mkristo ( mkatoliki)
Kazi : mtumishi wa umma pia mjasiriamali
Location : Dar Es salaam
Mchumba awe angalau na sifa hizi
1. Awe mkristo ispokuwa msabatho
2. Umri kuanzia miaka 30 mpaka 38
3. Kazi awe nayo au asiwe nayo haina shida
4. Elimu walau kidato cha nne
Mengine ni maelewano na kujifunza maana kila kitu kinawezekana
Karibu I
akuje namsubiri kwa hamufinancial services wee dada kipenzii njoo hapa, huendaa tukawa na harusi huu mwaka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wafate mkuu usisubiri wajilete PM, mara nyingi wanawake wanazuga staki nataka.akuje namsubiri kwa hamu
Ngoja waje boss usisahau kutupa mrejesho.akuje namsubiri kwa hamu