Wife Material akuje!

Wife Material akuje!

Nyoooolo!😂😂😂 hivi kweli wewe ndoa unaitaka? Embu kwanza dili na mmevbana hayo mengine baadae.

Mwenyewe huu uzi nimeupenda sema naanzaje kumfata piem mtu hajaweka hata no. Embu kama humtaki nifundishe nikienda piem nithemeje?
😅😅😅Umetukana Kisukuma kabisa eti" nyoolo"
Nyanebhe ng"wanike😅
 
Nyoooolo!😂😂😂 hivi kweli wewe ndoa unaitaka? Embu kwanza dili na mmevbana hayo mengine baadae.

Mwenyewe huu uzi nimeupenda sema naanzaje kumfata piem mtu hajaweka hata no. Embu kama humtaki nifundishe nikienda piem nithemeje?
Mimi mwenyewe kuhusu ndoa Bado sijajua Kama naitaka ama lah😂😂😂
Suala la watoto na muonekano wa Baba yao ni muhimu mnooo🤣🤣🤣🤣
Zama piem chelewa chelewa ukute mwana si wako fursa adimu hizi..😜
Hapo ukifika piem usime vipi 🤔ngoja kwanza
 
[emoji1787][emoji1787] Bladifakini huto tu miaka 27 basi unajiona likubwa kumbe hamna kitu! Sugar mamy au chumvi mamy!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani...sifa zote ninazo..hapo kwenye umaterial[emoji848]..bana tutafundishana..
Nipo hapa [emoji847]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzitoe wapi sasa hizo sifa? Usinichekeshe mie wee fursa yako bado. Kaa kwa kutulia.
 
Mimi mwenyewe kuhusu ndoa Bado sijajua Kama naitaka ama lah[emoji23][emoji23][emoji23]
Suala la watoto na muonekano wa Baba yao ni muhimu mnooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zama piem chelewa chelewa ukute mwana si wako fursa adimu hizi..[emoji12]
Hapo ukifika piem usime vipi [emoji848]ngoja kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umechachuka siku hizi dada angu, umenipita had mie yaan
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzitoe wapi sasa hizo sifa? Usinichekeshe mie wee fursa yako bado. Kaa kwa kutulia.
😂😂😂😂Kwamba dada ako Sina sifa🤣🤣🤣🤣 weeh mtoto usitake kunitia aibuuu
 
Mimi mwenyewe kuhusu ndoa Bado sijajua Kama naitaka ama lah😂😂😂
Suala la watoto na muonekano wa Baba yao ni muhimu mnooo🤣🤣🤣🤣
Zama piem chelewa chelewa ukute mwana si wako fursa adimu hizi..😜
Hapo ukifika piem usime vipi 🤔ngoja kwanza
Nisemeje sasa?

Nilikuwa nawaza nikizama piem thijui nitheme hivi?
Mimi naitwa luckyline natokea chattle HQ.Nimekuja piem kufatia bango lako. Nina vigezo vyote na zaidi.

Je utanipenda na kunijali kwa kila kitu unipe na hela hata kama sijakupenda? Na mimi nitakupenda na ndugu zako wote.

Thenki yu.

Hii imekaaje niikopie piem? Kuna cha kuongeza au kupunguza?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba dada ako Sina sifa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] weeh mtoto usitake kunitia aibuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie, hii fursa haikuhusu wee, tusubirie ma boss bhana, huyu hata corora hana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umechachuka siku hizi dada angu, umenipita had mie yaan
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwelii eeeh...Ila najishangaa sijui nimekuaje🤭
Embu nirudishe kene mstari usije nikosa
 
Nisemeje sasa?

Nilikuwa nawaza nikizama piem thijui nitheme hivi?
Mimi naitwa luckyline natokea chattle HQ.Nimekuja piem kufatia bango lako. Nina vigezo vyote na zaidi.

Je utanipenda na kunijali kwa kila kitu unipe na hela hata kama sijakupenda? Na mimi nitakupenda na ndugu zako wote.

Thenki yu.

Hii imekaaje niikopie piem? Kuna cha kuongeza au kupunguza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu ntakufa kwa kucheka mie khaaah.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwelii eeeh...Ila najishangaa sijui nimekuaje[emoji2960]
Embu nirudishe kene mstari usije nikosa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan umekua km ndimu uwiiiii, ngoja niongee na mello tuone tunafanyaje.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu ntakufa kwa kucheka mie khaaah.
Mleta uzi ukute ni ni mwanaume haswa lakini tutamchukulia poa kwakuwa ni humu jf sehem ya kupunguzia stress. Huyu ilitakiwa nikutane nae mitaani nijaribu bahati yangu. Ila kwa humu jf wacha tusindikize uzi hakuna kitu naogopa kama kukutana na mtu wa mitandaoni kha
 
Mleta uzi ukute ni ni mwanaume haswa lakini tutamchukulia poa kwakuwa ni humu jf sehem ya kupunguzia stress. Huyu ilitakiwa nikutane nae mitaani nijaribu bahati yangu. Ila kwa humu jf wacha tusindikize uzi hakuna kitu naogopa kama kukutana na mtu wa mitandaoni kha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si unajaribu kwa huyu, uoga wako ndo umaskini wako lol
 
Back
Top Bottom