Wife material anahitajika

Wasap bro, Cool there in USA 🇺🇸 ??

Namaanisha umeandika hii kutokea huko USA au ukiwa hapahapa TZ
 
Ukitaka uwavute weka tangazo salary scale Yako kwa mwezi 20m uone watakavyojaa inbox
 
Wasap bro, Cool there in USA 🇺🇸 ??

Namaanisha umeandika hii kutokea huko USA au ukiwa hapahapa TZ
Mkuu mimi nipo hapa hapa bongo nyoso nchi ya maskini tunavimbiana😂😂
 
Only Qualified Experienced Applicants will be considered [emoji57]
Yani wew ndio umenielewa ...unafaa kuwa auditor kwenye KAMPUNI yangu nimepitia comment huku nimecheka sana ....na kama wanawake wote wakichukua mawazo kama Yako kitakuwa na familia ambayo ina coordination nzuri ...in short mim staki mpenz nataka mke ....noted above

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Hongera mlevi kwa maoni yako tumeyapokea
Lakini si vizuri kumwita mtu shetani kisa ametafuta mchumba hapa jf maana hajavunja sheria za nchi wala za jamii forum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…