antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Anatafuta mke, siyo mpenzibinafsi nashangaa sana mtu anayetafuta mpenzi mtandaoni hususani kwa sisi waafrica.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatafuta mke, siyo mpenzibinafsi nashangaa sana mtu anayetafuta mpenzi mtandaoni hususani kwa sisi waafrica.
Wasap bro, Cool there in USA 🇺🇸 ??Mkuu ukitaka kuoa jitahidi uwe na kagari alafu jitahidi uwe umeshanunua kiwanja na umeweka hata msingi au umepandisha hata tofali 4
Utakuja kunishukuru.
Ila sasa mkuu mpka 34 hujaoa huna nyumba huna gari hata mali pia huna dah unakwama wapi asee hawa dada zetu ni viumbe wa kutunzwa sasa nyumba ya kupanga si ataingia majaribuni au afuate mkumbo kwa majirani......
Mkuu mimi nipo hapa hapa bongo nyoso nchi ya maskini tunavimbiana😂😂Wasap bro, Cool there in USA 🇺🇸 ??
Namaanisha umeandika hii kutokea huko USA au ukiwa hapahapa TZ
Asije kulia hapa akipata kina asha mkwaruzo akikohoa imechomokakila la heri mkuu. Hapo kwenye uzoefu umetisha 😁
Only Qualified Experienced Applicants will be considered 😏Kwani yeye hataki bikra?mbona uzoefu wa miaka 2tena🙆🤦🙆??
Si anataka mwenye uzoefu, atampata hata kama ni bwawa.Asije kulia hapa akipata kina asha mkwaruzo akikohoa imechomoka
It's my painful duty to say goodbye because I am disqualified....Only Qualified Experienced Applicants will be considered 😏
Sina uzoefu,niacheee😜😜Sijui nitie neno hapa.... au basi
kwa lugha nyepesi wewe silidiSina uzoefu,niacheee😜😜
Yani wew ndio umenielewa ...unafaa kuwa auditor kwenye KAMPUNI yangu nimepitia comment huku nimecheka sana ....na kama wanawake wote wakichukua mawazo kama Yako kitakuwa na familia ambayo ina coordination nzuri ...in short mim staki mpenz nataka mke ....noted aboveOnly Qualified Experienced Applicants will be considered [emoji57]
Wew ni silidi hahahahaha njo pmIt's my painful duty to say goodbye because I am disqualified....
Hongera mlevi kwa maoni yako tumeyapokeaUmezaliwa kuna Watoto wa kike wa nduguzo wa karibu au mlicheza nao wa majirani na mtaani au mlikuwa nao kanisani Sunday school,choir nk kanisani au mumesoma nao chekecheea ,Shule ya msingi,sekondari na vyuo nk au mumefanya kazi pamoja
Bado huko kote hujapata wife material shetani mtoto wa shetani wewe Hadi ulete tangazo humu?
Wewe una shida na nashauri Wanawake wakukwepe kama ukoma
Mmh 🤣Asante Kwa kuniitaJoannah Tayana-wog changamkeni mwaka bado mbichi huu
🤣🤣🤣🤣Silidiiiiii