Mzuka sana wanaJamvi.
Kwa kuwa kumbusha tu 2013 Jamvi lilichanganya balaa ni ishu ya leprofeseli Kapuya Hadi server ilikuwa overwhelmed.
2014 ishu ya Escrow pia.
2015 rais wetu Lowasa alivyoaamia Chadema ilikuwa tukio la aina yake. Jamvi lilipuka.
Mwaka huu empty head zero brain Na vyeti feki Bashite Jamvi lilipuka.
Dada wa Taifa, National Treasure Na potential Times person of the year contender Mange Kimambi (Masters) alitingisha Jamvi balaa humu.
Naam sasa wiki hii ama siku zijazo topic mbili zitatikisa Jamvi Na Jamvi litachanganya kweli kweli. Yani hapa dogo atumwi dukani. Ni repoti ya CAG Na video ya mpambanaji potential Noble peace award contender Braza TAM. Lissi atakapofanya mazungumzo Na vyombo mbali mbili. Yani nitasingizia naumwa nipate sickleave ili kila mada Na Michango niipitie ilimradi tu nijiridhishe.
Sijui sasa hivi team makinikia watatoka Na Kiki gani. Manake hawa jamaa kwa drama tu.
Ni Mimi mtaalam wa kufundisha samaki kuogelea Na mbeba boksi aliyekubuhu.
Dadadeq!
Kwa kuwa kumbusha tu 2013 Jamvi lilichanganya balaa ni ishu ya leprofeseli Kapuya Hadi server ilikuwa overwhelmed.
2014 ishu ya Escrow pia.
2015 rais wetu Lowasa alivyoaamia Chadema ilikuwa tukio la aina yake. Jamvi lilipuka.
Mwaka huu empty head zero brain Na vyeti feki Bashite Jamvi lilipuka.
Dada wa Taifa, National Treasure Na potential Times person of the year contender Mange Kimambi (Masters) alitingisha Jamvi balaa humu.
Naam sasa wiki hii ama siku zijazo topic mbili zitatikisa Jamvi Na Jamvi litachanganya kweli kweli. Yani hapa dogo atumwi dukani. Ni repoti ya CAG Na video ya mpambanaji potential Noble peace award contender Braza TAM. Lissi atakapofanya mazungumzo Na vyombo mbali mbili. Yani nitasingizia naumwa nipate sickleave ili kila mada Na Michango niipitie ilimradi tu nijiridhishe.
Sijui sasa hivi team makinikia watatoka Na Kiki gani. Manake hawa jamaa kwa drama tu.
Ni Mimi mtaalam wa kufundisha samaki kuogelea Na mbeba boksi aliyekubuhu.
Dadadeq!