Wiki ijayo Uhuru na Ruto wanapiga kampeni Nyanza kwa Raila....iko kazi

Wiki ijayo Uhuru na Ruto wanapiga kampeni Nyanza kwa Raila....iko kazi

Ninavyojua wahaya na jaruo ni ndugu na watani. Huyu mwenye jina rutashubanyuma ni mhaya paka shume. Nimefuatilia post zake kuhusu uchaguzi wa kenya. Yeye anamfagilia kenyata tunajua. Kwanin atake kuaminisha kila mtu kuwa kenyata ni mzuri?

kajunju ninashukuru kwa kunivua tuhuma ya ukabila ambayo sina ila nina maoni kama raia mwingineo.........
 
Nilimaanisha wewe ni team UHURU......central province.

Cha msingi 5th March usikimbie

RealMan nikimbie tena wakati ninachosubiri ni "concession speech" ya raila..............it is no longer if but at what time?
 
Ninavyojua wahaya na jaruo ni ndugu na watani. Huyu mwenye jina rutashubanyuma ni mhaya paka shume. Nimefuatilia post zake kuhusu uchaguzi wa kenya. Yeye anamfagilia kenyata tunajua. Kwanin atake kuaminisha kila mtu kuwa kenyata ni mzuri?
Mkubwa hujakosea huyu jamaa kaacha kutuburudisha na yale mashairi yake sasa few days left kahamia kwenye chaguzi za Kenya na kama sijakosea anawajomba kule! Nitafute nikuonyeshe Ruta anapatikana maeneo gani ha Arusha!
 
Back
Top Bottom