Ninavyojua wahaya na jaruo ni ndugu na watani. Huyu mwenye jina rutashubanyuma ni mhaya paka shume. Nimefuatilia post zake kuhusu uchaguzi wa kenya. Yeye anamfagilia kenyata tunajua. Kwanin atake kuaminisha kila mtu kuwa kenyata ni mzuri?
Ninavyojua wahaya na jaruo ni ndugu na watani. Huyu mwenye jina rutashubanyuma ni mhaya paka shume. Nimefuatilia post zake kuhusu uchaguzi wa kenya. Yeye anamfagilia kenyata tunajua. Kwanin atake kuaminisha kila mtu kuwa kenyata ni mzuri?
Mkubwa hujakosea huyu jamaa kaacha kutuburudisha na yale mashairi yake sasa few days left kahamia kwenye chaguzi za Kenya na kama sijakosea anawajomba kule! Nitafute nikuonyeshe Ruta anapatikana maeneo gani ha Arusha!