Wiki inakatika hatunaye Balozi Ali Karume

Wiki inakatika hatunaye Balozi Ali Karume

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Wajumbe,

Sasa ni wiki moja inakatika hatunaye mtaani Balozi Ali Karume alipokonywa uanachama wa CCM na kisha kusafirishwa usiku wa manane kutoka Zanzibar hadi Tanganyika na kufichwa kusikojulikana. Hakuna anayejua afya ya Karume huko aliko.

Katikati ya mjadala huu wa Bandari na Utanganyika mchango wa Mwanadiplomasia huyu ni muhimu sana. Kama tayari mmempokonya kadi ya chama basi mwachieni huru.

Karume alipokonywa kadi ya uachana baada ya kuonekana mwiba kwa utawala wa Rais Hussein Ally Mwinyi ambaye Balozi anamuona kama mtu aliyeshindwa kuongoza visiwa hivyo kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za nchi hiyo.

Karume pia aliweka wazi anachokijua kwamba CCM hakijawahi kushinda Uchaguzi Zanzibar hata mara moja na kwamba uamuzi wa nani aongoze Zanzibar hufanyika Dodoma (Tanganyika).
 
Kama dada yake yuko busy kutetea ule mkataba wa hovyo wa bandari, atakuwa anajua kaka yake yupo sehemu salama.

Vinginevyo sasa hivi angekuwa anapayuka sana, inawezekana huwa anamtembelea huko alipo kila jioni.

Hawatamfanya chochote ikiwa shangazi yao yupo ikulu, kinachoendelea kwa sasa ni maigizo yao tu, kina Dr. Nshalla na Adv. Mwabukusi ndio tuwaulizie kama wako salama huko walipo ..
 
Wajumbe,

Sasa ni wiki moja inakatika hatunaye mtaani Balozi Ali Karume alipokonywa uanachama wa CCM na kisha kusafirishwa usiku wa manane kutoka Zanzibar hadi Tanganyika na kufichwa kusikojulikana. Hakuna anayejua afya ya Karume huko aliko.

Katikati ya mjadala huu wa Bandari na Utanganyika mchango wa Mwanadiplomasia huyu ni muhimu sana. Kama tayari mmempokonya kadi ya chama basi mwachieni huru.

Karume alipokonywa kadi ya uachana baada ya kuonekana mwiba kwa utawala wa Rais Hussein Ally Mwinyi ambaye Balozi anamuona kama mtu aliyeshindwa kuongoza visiwa hivyo kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za nchi hiyo.

Karume pia aliweka wazi anachokijua kwamba CCM hakijawahi kushinda Uchaguzi Zanzibar hata mara moja na kwamba uamuzi wa nani aongoze Zanzibar hufanyika Dodoma (Tanganyika).
Acha uongo
 
Wajumbe,

Sasa ni wiki moja inakatika hatunaye mtaani Balozi Ali Karume alipokonywa uanachama wa CCM na kisha kusafirishwa usiku wa manane kutoka Zanzibar hadi Tanganyika na kufichwa kusikojulikana. Hakuna anayejua afya ya Karume huko aliko.
Mkuu Despro, Desprospero, usiwe na shaka kabisa kuhusu mahala, alipo, hajafichwa, itakuwa ni amehifadhiwa mahala salama kabisa.
Hili sii jambo geni kwa huku bara kuwahifadhi salama viongozi wa Zanzibar.
  1. Siku ya Mapinduzi, tulimhifadhi Karume
  2. Baada ya Mapinduzi tukamhifadhi Hanga,
  3. Baadaye tukamhifadhi John Okello
  4. Mwaka 1971 tukawahifaddhi Babu na Col. Mahafudh baada ya Ahmada kufanya lile jambo lake.
  5. Mwaka 1984 tukamhifadhi Jumbe
P
 
Wajumbe,

Sasa ni wiki moja inakatika hatunaye mtaani Balozi Ali Karume alipokonywa uanachama wa CCM na kisha kusafirishwa usiku wa manane kutoka Zanzibar hadi Tanganyika na kufichwa kusikojulikana. Hakuna anayejua afya ya Karume huko aliko.

Katikati ya mjadala huu wa Bandari na Utanganyika mchango wa Mwanadiplomasia huyu ni muhimu sana. Kama tayari mmempokonya kadi ya chama basi mwachieni huru.

Karume alipokonywa kadi ya uachana baada ya kuonekana mwiba kwa utawala wa Rais Hussein Ally Mwinyi ambaye Balozi anamuona kama mtu aliyeshindwa kuongoza visiwa hivyo kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za nchi hiyo.

Karume pia aliweka wazi anachokijua kwamba CCM hakijawahi kushinda Uchaguzi Zanzibar hata mara moja na kwamba uamuzi wa nani aongoze Zanzibar hufanyika Dodoma (Tanganyika).
Sikia nenda police chukua Rb, kama balozi bado ni mali ya uma,

Ikumbukwe binafsi nilipanga kuchukua RB ya Mzee kikwete endapo asingejitokeza adharani maana japo hajaongelea swala la bandari lakini nimemuona juzi akiwa na mke wake uko kwa kabila flani , lakini pia sabasaba, lakini nilikua namanisha .

So solution, watu mia fungueni jarada la kupotelewa na uyo Barozi tuone kama wataendelea mficha

Pamoja na ilo twende pamoja rudisha Bandari zetu
 
Mkuu Despro, Desprospero, usiwe na shaka kabisa kuhusu mahala, alipo, hajafichwa, itakuwa ni amehifadhiwa mahala salama kabisa.
Hili sii jambo geni kwa huku bara kuwahifadhi salama viongozi wa Zanzibar.
  1. Siku ya Mapinduzi, tulimhifadhi Karume
  2. Baada ya Mapinduzi tukamhifadhi Hanga,
  3. Baadaye tukamhifadhi John Okello
  4. Mwaka 1971 tukawahifaddhi Babu na Col. Mahafudh baada ya Ahmada kufanya lile jambo lake.
  5. Mwaka 1984 tukamhifadhi Jumbe
P
Mmh, smelling fishy
 
Wajumbe,

Sasa ni wiki moja inakatika hatunaye mtaani Balozi Ali Karume alipokonywa uanachama wa CCM na kisha kusafirishwa usiku wa manane kutoka Zanzibar hadi Tanganyika na kufichwa kusikojulikana. Hakuna anayejua afya ya Karume huko aliko.

Katikati ya mjadala huu wa Bandari na Utanganyika mchango wa Mwanadiplomasia huyu ni muhimu sana. Kama tayari mmempokonya kadi ya chama basi mwachieni huru.

Karume alipokonywa kadi ya uachana baada ya kuonekana mwiba kwa utawala wa Rais Hussein Ally Mwinyi ambaye Balozi anamuona kama mtu aliyeshindwa kuongoza visiwa hivyo kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za nchi hiyo.

Karume pia aliweka wazi anachokijua kwamba CCM hakijawahi kushinda Uchaguzi Zanzibar hata mara moja na kwamba uamuzi wa nani aongoze Zanzibar hufanyika Dodoma (Tanganyika).
RIP
 
Back
Top Bottom