Wiki la shangwe kubwa na furaha yakinifu

Wiki la shangwe kubwa na furaha yakinifu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Simba katuheshimisha Watanganyika.. Kamnyoa kipara mwarabu. πŸ’ͺπŸΏπŸ™πŸΏπŸ’₯πŸ’₯..!
TAL ni SIMBA kwa alama .. Ni alama Ya uthubutu mkubwa na fearless..
Tumeanza na SIMBA tunamaliza na LISSUπŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿
Huko chama chawala uhuni waliofanyiana ngoja tusubiri yajayo
 
Simba katuheshimisha Watanganyika.. Kamnyoa kipara mwarabu. πŸ’ͺπŸΏπŸ™πŸΏπŸ’₯πŸ’₯..!
TAL ni SIMBA kwa alama .. Ni alama Ya uthubutu mkubwa na fearless..
Tumeanza na SIMBA tunamaliza na LISSUπŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿
Huko chama chawala uhuni waliofanyiana ngoja tusubiri yajayo
Hapa rafiki tumepishana , lakini yote heri! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€

Simba Lisu mbona anamuacha Slaa anaozea selo? (maana laa ni mpenzi mkubwa wa Lisu)
 
ni furaha ilije pia mama sasa ni rasmi tuko nae 2025 na mimi kama kichwa cha familia tayari nimewambia wanafamilia kama kwenye huu msafara wa mamba kuna kenge basi 2025 ajidai mamba kwa usalama wake.., niko bega kwa bega na mama kuwakabili hawa wanaojita wapinzani kwa chama dola
 
Screenshot_20241214-132055~2.jpg
 
Simba katuheshimisha Watanganyika.. Kamnyoa kipara mwarabu. πŸ’ͺπŸΏπŸ™πŸΏπŸ’₯πŸ’₯..!
TAL ni SIMBA kwa alama .. Ni alama Ya uthubutu mkubwa na fearless..
Tumeanza na SIMBA tunamaliza na LISSUπŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿
Huko chama chawala uhuni waliofanyiana ngoja tusubiri yajayo
πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»Ngoja nivae Jezi kabisa.
 
Hapa rafiki tumepishana , lakini yote heri! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€

Simba Lisu mbona anamuacha Slaa anaozea selo? (maana laa ni mpenzi mkubwa wa Lisu)
Tuupe muda wakati brother ni hakimu wa haki.. Halafu pia tukumbuke kuna wakati wa Yaweh..!
 
ni furaha ilije pia mama sasa ni rasmi tuko nae 2025 na mimi kama kichwa cha familia tayari nimewambia wanafamilia kama kwenye huu msafara wa mamba kuna kenge basi 2025 ajidai mamba kwa usalama wake.., niko bega kwa bega na mama kuwakabili hawa wanaojita wapinzani kwa chama dola
Mmelikoroga vibaya mno... Na kwa hofu ya kukataliwa mkafanya uhuni mkubwa kumpitisha..! Mtakuwa na mwaka wa taabu mnooo
 
Back
Top Bottom