Hii ni wiki ngumu kwa NEC na Wasimamizi wao wa uchaguzi kwa ngazi ya majimbo hasa katika suala la utoaji wa matokeo.
Kwa miaka kadhaa kuna dhana imejengeka miongoni mwa watu kwamba Rais alisikika akiwaonya hawa anaowateua halafu asikie wamemtangaza mpinzani.
Kwa upande wangu wasiwasi wangu uko kwa upande wa Zanzibar, je yatajirudia yale ya 2015?
Tusubirie tuone
Kwa miaka kadhaa kuna dhana imejengeka miongoni mwa watu kwamba Rais alisikika akiwaonya hawa anaowateua halafu asikie wamemtangaza mpinzani.
Kwa upande wangu wasiwasi wangu uko kwa upande wa Zanzibar, je yatajirudia yale ya 2015?
Tusubirie tuone