Wiki nzima bila kutongozwa

Mwanamke anayelalamika kuwa "hatongozwi" ni mwendawazimu - na anahitaji ushauri nasaha haraka sana!

Labda tunapishana Kiswahili - "to be approached" is not synonimous to "to be seduced"!
Labda wanachanganya kutongozwa na kua NOTICED..KUSALIMIWA..KUSIFIWA and the likes!
 
Yeah nimeona hilo maana binafsi sioni wanachotetea kama kina tija!!
Off Topic:Haya we nawe kesi yako ya uhati breka imeishia wapi??

nadhani tatizo ni jina la mwisho hili cool am about to change it!l.o.l nishaenda on my knees kwa binti hapo juu
 
nadhani tatizo ni jina la mwisho hili cool am about to change it!l.o.l nishaenda on my knees kwa binti hapo juu

Basi ukibadilisha mwombe akuchagulie ili umwonyeshe ulivyodhamiria kufanya kweli!!(Kwa ushauri kama huu nategemea kua kwenye kamati...hamna cha bure!)
 
Basi ukibadilisha mwombe akuchagulie ili umwonyeshe ulivyodhamiria kufanya kweli!!(Kwa ushauri kama huu nategemea kua kwenye kamati...hamna cha bure!)

wewe tena? usipokuwemo kwenye kamati nani sasa atakuwemo?.........nitaomba baba mchungaji aje kutulisha yamini!l.o.l
 
Naona wapinzani kila kona mami!Tofautiana kidogo to unadanganya!Kaazi kweli kweli!

Kuna kufikiriana visivyo nimegundua hapa JF...........ukitofautiana wewe ni muongo,kwa mwendo huu itabidi kila hoja hata mtu akija na wanawake wote ni wahuni,useme ndio.....
ukisema sio wewe muongo,unaambiwa uwe mkweli.....mbona hapatatosha hapa????
 
Kuna kufikiriana visivyo nimegundua hapa JF...........ukitofautiana wewe ni muongo,kwa mwendo huu itabidi kila hoja hata mtu akija na wanawake wote ni wahuni,useme ndio.....
ukisema sio wewe muongo,unaambiwa uwe mkweli.....mbona hapatatosha hapa????

mama whats up witchu today?
 
Kuna kufikiriana visivyo nimegundua hapa JF...........ukitofautiana wewe ni muongo,kwa mwendo huu itabidi kila hoja hata mtu akija na wanawake wote ni wahuni,useme ndio.....
ukisema sio wewe muongo,unaambiwa uwe mkweli.....mbona hapatatosha hapa????

hahaha hii kali kweli
 
Mi nna mwezi hamna kitu...njoo tule kujiliwaza mvuto hamna tena!

Mimi inabidi niende bagamoyo,nina mwaka sijui sijatongozwa na wala sijiulizi nilikuwa naona sawa tu,leo nimepata ''wake-up call,something might be wrong with me.'' Nakuja my dear,hii topic inaninyima usingizi,kumbe wenzangu kila siku......😛layball:
 
wewe tena? usipokuwemo kwenye kamati nani sasa atakuwemo?.........nitaomba baba mchungaji aje kutulisha yamini!l.o.l
Hapo umenena!Baadae ntakupa mbinu mbili tatu za kumtuliza mamie!Hehehe baba mchungaji akitoka tu jela anawapa somo!
 

kawni lazima utongozwe? Na ukishatongozwa iweje? Utatoa?
 
Kazi si kidogo!Wanataka/dhani walivyo wao na sie hivyo hivyo!Nani wakua kondoo hapa...tutawapa mpaka wakimbie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…