Sio gharama ya pesa, bali UPENDO, MAHABA plus MASHAIRI :A S-omg:
mugambo wana ruka na kukanyagana......
mugambo wana ruka na kukanyagana......
tupo pamoja kaka.....
Hatanii huyo?? take him seriously....usije sema sikukwambia.......😛layball:
Hatanii huyo?? take him seriously....usije sema sikukwambia.......😛layball:
:attention::attention::attention:I swear to you,hamko pamoja!!!
hi bacha, michalle+EMT +finest +hash ycool if possibo someni sredi ya
Can You Marry A Jobless Man? uone watu wanavyoolewa kwa kufwata mshiko na sio mapenzi.mtakubali nilionewa kwenye ile sredi yangu ya Mmasai vs Mmarangu.
Michelle Nimeisoma mama labda hawa wengine,hujaona comment yangu pale,ebu angalia......
Natumaini na wengine watasoma,waache tabia ya kuonea watu kumbe ndo maisha yalivyo.........
:attention::attention::attention:
kaka si uachie hii sredi.....kwani jukwaa la siasa hulioni? usipochangia huko unafikiri nani atachangia sasa aaaaaargh
Asante mpz,nitake nini tena??gunia la chawa,never!!! karibu CPU!!
Asante mpz,nitake nini tena??gunia la chawa,never!!! karibu CPU!!
Relationships are like glass. Sometimes it's better to leave them broken than try to hurt yourself putting it back together
weka hizi akiba