mama mchungaji....huyu mwenzangu ananirusha roho mwenzie kila saa......mara kloro....mara nitakuacha...yaaani haeleweki kama sigara ile ya kali...l.o.l.....wakati mie mwenzie roho yangu yote nimeibwaga kwake
ona sasa, saa hizi nipo mobile ndo hashycool anaanza nyoooooodo
hivi nilham yupo wapi?
mama mchungaji....huyu mwenzangu ananirusha roho mwenzie kila saa......mara kloro....mara nitakuacha...yaaani haeleweki kama sigara ile ya kali...l.o.l.....wakati mie mwenzie roho yangu yote nimeibwaga kwake
ohoooooo MAMBO YA KUNYWA CHAI NA MATANGO
Weee hizo kicheni pati za siku hizi zinapotosha sana ehh maana haya mawazo sio!Utamuua mwenzako kwa presha bure!
Michelle una cha kujitete hapa????:suspicious:
mimi pia roho yangu nimeibwaga kwake mama mchungaji ila huyo ndo aliniita mi ua la barabarani,sijasahu bado????
Ana mrembo wake mzuri basi naye hunirusha roho,nami nikaona ya nini,hata mi kurusha roho yake naweza???:disapointed:
Michele habari yako binafsi mama, pole na uchovu wa siku, natumaini unaendelea vizuri mama. Daaa naona ulikuwa na kazi nzito hapo juu, mi nlikimbia manake niliona hali mbaya.
Bahati nzuri nikakutana na bacha akanionesha njia ya kutokea aisee!! 0therwise nashukuru umemaliza vizuri.
aii weweeee
kwani uongo??:kev:
what do i have to do to gain your trust again! Eenh......
Nishamsoma Hashy,haumii yule mwanaume ndo maana najifanyia nitakavyo mama mchungaji.........
ngoja nikae ateeeeeeen-shen kumchukua michelle rasmiπ
Habari yangu binafsi nzuri sana my dear,kweli kazi ilikuwepo kwa kuwa ilibidi nizungumze nafsi za watu wengine.....duh,kuna watu wana mawazo sio kabisa yani.....sikujua kuna kujuana ati???mi kila li-thread natia pua kumbe kwingine sitakiwi.....lol
Ningejua ningeunga njia moja na Bacha na wewe,hii kazi ya leo,vile tu utu uzima umenifika,pasingekalika hapa......:shock:
Habari yangu binafsi nzuri sana my dear,kweli kazi ilikuwepo kwa kuwa ilibidi nizungumze nafsi za watu wengine.....duh,kuna watu wana mawazo sio kabisa yani.....sikujua kuna kujuana ati???mi kila li-thread natia pua kumbe kwingine sitakiwi.....lol
Ningejua ningeunga njia moja na Bacha na wewe,hii kazi ya leo,vile tu utu uzima umenifika,pasingekalika hapa......:shock:
mmmh! mpenzi haya mambo ya kujuana yapo hapa jf?? Makubwaaaa :shock: