Wiki nzima bila kutongozwa

Wiki nzima bila kutongozwa

Mmma my dear nimeshajiandaa kumpiga brush Hashy alafu nasikia habari ya sijui Sipiyu...vipi tena hii kitu?


Mwenzenu kuna jambo nilijifunza kwa Marytina.....something to do with the list....in case Hashy akila kona,kuwe na back up???kwani wana maana hawa Lizzy???😛layball:
 
Mwenzenu kuna jambo nilijifunza kwa Marytina.....something to do with the list....in case Hashy akila kona,kuwe na back up???kwani wana maana hawa Lizzy???😛layball:

Daaah . . . kumbe mi ni BACK UP aka RIZEVU??? :shock:
 
mwenzenu kuna jambo nilijifunza kwa marytina.....something to do with the list....in case hashy akila kona,kuwe na back up???kwani wana maana hawa lizzy???😛layball:

dah! Kloro...sipiyu...uporo...n.k mh!
 
Mwenzenu kuna jambo nilijifunza kwa Marytina.....something to do with the list....in case Hashy akila kona,kuwe na back up???kwani wana maana hawa Lizzy???😛layball:
Weee hizo kicheni pati za siku hizi zinapotosha sana ehh maana haya mawazo sio!Utamuua mwenzako kwa presha bure!
 
weee hizo kicheni pati za siku hizi zinapotosha sana ehh maana haya mawazo sio!utamuua mwenzako kwa presha bure!

yaani mama mchungaji mie mwenzio nakufa kila dakika humu jf
 
Niko tayari mama Mchungaji,nataka yaishe tutulie.......

Kwakuanzia naomba kila mmoja anieleze tatizo kwa upande wake kwa kifupi!Hashy naomba uanze wewe alafu Michelle atafuata!Naomba msianze mabishano ehh...
 
hahahahaha,duh kazi kweli na wakikufata sana,.....ohh wakaka wasumbufu kweli kumbe huwa hamsumbuliwi eh?
 
kwakuanzia naomba kila mmoja anieleze tatizo kwa upande wake kwa kifupi!hashy naomba uanze wewe alafu michelle atafuata!naomba msianze mabishano ehh...

mama mchungaji....huyu mwenzangu ananirusha roho mwenzie kila saa......mara kloro....mara nitakuacha...yaaani haeleweki kama sigara ile ya kali...l.o.l.....wakati mie mwenzie roho yangu yote nimeibwaga kwake
 
Ona sasa, saa hizi nipo mobile ndo hashycool anaanza nyoooooodo
 
Back
Top Bottom