wiki ya 38 ya ujauzito naweza kujifungua muda wowote?

Ntiliabhose

Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
78
Reaction score
38
Habari zenu jaman! Ninaujauzito wa wk 38 na makadilio ni wk 40 je mpaka nifikishe makadilio au ni Muda wowote?pia nisogee karibu na ndugu watakaoniudumia au nisubiri wk ya 40. Nawasilisha jaman hii ni mimba ya kwanza.
 
Pole mwaya, huwa inategemea mwingine anaweza asimalize wiki 40, au akazidisha, au akapunguza,sasa jiweke tayari na vifaa vyako vyote, uwe tayari wakati wowote kuanzia sasa, pia uwe na mtu usikae peke yako , japokuwa uchungu wa mimba ya kwanza huwa ni mrefu kiasi, Pole Mungu akusimamie .
 
Asante mamy nishaandaa. Vifaa alafu zile kanga zote 2nazoambiwa kuwa nazo zinakuwa na kaz gani mbona nyingi?
 
ASANTE MZIZI MKAVU,ni ujauzito wa kwanza na sijajua jinsia.pia nina afya njema kabisa,naskia vichomi unazidi wakati mwingne ndo manna nikauliza kama naweza kusogea kwa ndugu au ningoje ?
 
Asante MISS strong nimenunu mpya zote Ila ntachanganya na kama ulivyonielekeza
 
Ni bora ujizogeze kwa ndugu sasa hakuna haja ya kusubiri zaidi. Kila la heri na baraka.
 
Asante MISS strong nimenunu mpya zote Ila ntachanganya na kama ulivyonielekeza

Kila la kheri................usiogope kitu Mungu atakusimamia tu.Natabiri uzima katika jina lipitalo majina yote.Sema aimennnnnnnnnnnnnn!
 
AMEN!!!! Nilikuwa naogopa sana ila kadri siku zinavyoenda naujasiri sana.
 
hongera sana !
Kwa mazingira yetu kuanzia wiki ya 38-42 ni 'safe' kwa uhai wa mtoto.hivyo tegemea kujifungua kati ya mda huu,endelea na maandalizi
 
Habari zenu jaman! Ninaujauzito wa wk 38 na makadilio ni wk 40 je mpaka nifikishe makadilio au ni Muda wowote?pia nisogee karibu na ndugu watakaoniudumia au nisubiri wk ya 40. Nawasilisha jaman hii ni mimba ya kwanza.

hongera sana kwa matayarisho yako ya kutuletea kiumbe kipya!
 
kanga mpya kwa ajili ya mtoto,kanga za zamani kwa kufutia damu na majimaji ya mji wa mimba.
 
MOKALA nimeshazifua na kibegi tayaritayari! Nashukuru xana
Samahani kukuuliza hili,
Jamaa yuko wapi, kwa nini usiwe naye karibu kwani huongeza ujasiri wa kuPUSH
Ila km hayupo MUNGU atakusaidia na utakapojifungua usiache kumpa jina la mtandao uupendao wa JF kwani hatakiwi awe mbali na sisi mashemeji tukupe ushauri
Hongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…