Ntiliabhose
Member
- Dec 31, 2012
- 78
- 38
Habari zenu jaman! Ninaujauzito wa wk 38 na makadilio ni wk 40 je mpaka nifikishe makadilio au ni Muda wowote?pia nisogee karibu na ndugu watakaoniudumia au nisubiri wk ya 40. Nawasilisha jaman hii ni mimba ya kwanza.