chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Habarini wadau
Mke wangu ana ujauzito na tarehe ya matarajio ilikua ni tarehe 1 lakini naona siku zinaenda tu mtoto wangu hazaliwi kazi yake ni kurukaruka tu tumboni kwa mama yake.
Je watalamu hapa shida iko wapi?
Mke wangu ana ujauzito na tarehe ya matarajio ilikua ni tarehe 1 lakini naona siku zinaenda tu mtoto wangu hazaliwi kazi yake ni kurukaruka tu tumboni kwa mama yake.
Je watalamu hapa shida iko wapi?