Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Leo waziri mkuu mh. Kasim Majaliwa amezindua wiki ya usalama barabarani.
Miongoni mwa watu wanachangia ajali za nyingi za barabarani ni polisi kupitia KIKOSI CHA KAMATA KAMATA
Polisi hao wanaokimbiza pikipiki bila utaratibu,wanachomoa funguo kwenye pikipiki sasa muendesha pikipiki anapowakwepa polisi ndio ajali hutokea na hatimae vifo.
Makosa ambayo yanamfanya mtu akimbie nikukosa helment,kuvaa viatu vya wazi nk.
Sasa swali la kujiuliza je akiwa amevaa ndala anaweza kusababisha ajali kubwa kama ambavyo anawatoroka kikosi cha kamatakamata?
Je kukosa kofia ngumu kwa mwendo wa kawaida kunaweza kusababisha ajali kubwa kama mtu anapowakimbia polisi akaenda kulivaa gari?
Nyie kamatakamata Kipindi kilichopita hamkua mnasumbua je kwanini leo?
Polisi badilikeni
Miongoni mwa watu wanachangia ajali za nyingi za barabarani ni polisi kupitia KIKOSI CHA KAMATA KAMATA
Polisi hao wanaokimbiza pikipiki bila utaratibu,wanachomoa funguo kwenye pikipiki sasa muendesha pikipiki anapowakwepa polisi ndio ajali hutokea na hatimae vifo.
Makosa ambayo yanamfanya mtu akimbie nikukosa helment,kuvaa viatu vya wazi nk.
Sasa swali la kujiuliza je akiwa amevaa ndala anaweza kusababisha ajali kubwa kama ambavyo anawatoroka kikosi cha kamatakamata?
Je kukosa kofia ngumu kwa mwendo wa kawaida kunaweza kusababisha ajali kubwa kama mtu anapowakimbia polisi akaenda kulivaa gari?
Nyie kamatakamata Kipindi kilichopita hamkua mnasumbua je kwanini leo?
Polisi badilikeni