Mi ntaokoa mke kwanza.....mtoto ni majaliwa tu na mungu akipenda tutapata mwingine. Bsbs mkwe na mkewe watabaki wanaokoana wenyewe
Hilo swali ni illogical halina jibu.
...Interesting! 🙄
...kwahiyo, 'huenda' mwanaume anachokimbilia kuokoa sio mke as mke ila ile 'raha raha' inayotokana na mke! Huyo mke akienda na maji raha yote ya maisha nayo ndio inaishia hapo...!
...or my 'observation' is a bit controversial?
😀
kiukweliii, kina mama wengi kwa moyo mweupe tutaenda kwa mtoto sio kwa kuwa tunampenda zaidi ila kwa kuwa ni dhaifu zaidi.
wanawake tunamentality ya kuguswa sana na udhaifu. ndio akili inaenda huko. Ingekuwa baba ni asiyejiweza, mama angapata shida sana kuchagua.
...ndio maana mimi hapo sijaona bado busara ya kumuokoa mke, any way, tuvute subira watu wazidi 'kujikaanga'.
Mbu i like the way ulivyoiweka hii kaka big up...ndio maana mimi hapo sijaona bado busara ya kumuokoa mke, any way, tuvute subira watu wazidi 'kujikaanga'.
Ningejibu kuepusha ajali kama hii mzee huwa ninahakikisha hatutembei ukoo mzima..., si unajua ajali moja inaweza ikaua kizazi chote.., ? Lakini swali gumu mzee kwani wewe ungenishauri nimuokoe nani.., naomba unifundishe mimi mwanao
Ningemwambie baba mkwe acha utoto, kuwa seriouz ktk mambo ya msingi teh!Hilo swali ni illogical halina jibu.
Hivi baba ku take care ya mtoto kama kumlisha inategemea na heshima anayopata kwa mama??? Nataka ku conclude utafiti wangu kuwa mapenzi ya wababa wengi kwa mtoto ni too conditional, unlike mothers. Sasa mtoto ni wako mimi hata kama ninakufanyia vituko kiasi gani ina husika vipi na wewe kumchukia mwanao??? Yani baba abembelezwe ndio alee mtoto?? Will never beg for that. Ningepata mume wa hivyo wala simshitui ila malipo atayapata mtoto wake akikua kwani ataona kama mtoto atakuwa na mapenzi naye. Yani nikuombe eti baba nanii nisaidie kumpa maziwa mtoto. Nope utajituma mwenyewe; kama unaona hakuna umuhimu I will beter call my housegirl for help not irresponsible father.
...lol....VoR nitakunong'oneza usimwambie mtu, sawa? ...jibu utalipata kwa kufikiria upo kwenye stage gani ya mapenzi!
Kama ni mapenzi 'motomoto'...potelea mbali, huoni wala hufikirii mara mbili mbili utalitoa jibu husika...
..Kuna watu kipindi maishani 'waliopendana' hujikuta kwenye hali hii;
Mbu hii ni thread inayojitegemea mydia........stage ya penzi na making choices......lol hapa tutaingia kwenye mengi sana!!
Just out od my curiosity............so kama penzi lime'choka' if I may say so........them possibility ya mke kutoswa ni kubwa eh?? Na je hali ni sawa kwa kina mama?? kuwa kama penzi limechoka ni rahisi kumsacrifice mume eh?
Just a quick thought..
kutokana na mapenzi ya ukweli ya mama na mtoto. Automatically Mama ata-influence decision ya baba, yaani Mama/mke hatokubali mtoto afe hata kama baba atakuwa ametaka iwe hivyo. Mama atakuwa radhi kukataa msaada wa baba na kujaribu kuangaika mwenyewe..hatima yake ..Mama na mtoto watakufa. Na kama baba.. utajaribu kumwokoa mtoto..hatapenda kuona mke wake anakufa..Roho itamsuta na ushujaa hata usiowezekana utamwingia..
Scenario yangu ..wote watatu mtakufa..kwani baba atajitahidi kuokoa wote wawili..kitu ambacho hakiwezekani ..lakini kwa wakati huo ..ataona kinawezekana..