Hivi baba ku take care ya mtoto kama kumlisha inategemea na heshima anayopata kwa mama??? Nataka ku conclude utafiti wangu kuwa mapenzi ya wababa wengi kwa mtoto ni too conditional, unlike mothers. Sasa mtoto ni wako mimi hata kama ninakufanyia vituko kiasi gani ina husika vipi na wewe kumchukia mwanao??? Yani baba abembelezwe ndio alee mtoto?? Will never beg for that. Ningepata mume wa hivyo wala simshitui ila malipo atayapata mtoto wake akikua kwani ataona kama mtoto atakuwa na mapenzi naye. Yani nikuombe eti baba nanii nisaidie kumpa maziwa mtoto. Nope utajituma mwenyewe; kama unaona hakuna umuhimu I will beter call my housegirl for help not irresponsible father.