Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Ulikuwa wapi nilipokuwaga nalia nahitaji mumeUtakua unatoka tu ata kwa njee ya geti tu , naingiza kichwa tu .
Eti bidada kwanini mtu akutaje kuwa wewe nikisingizio cha watu eti wapigwe banDr fizi ya ndani ya meno ya juu imevimba inauma nifanyaje ipoe? Nahisi imeanza jioni hii
Tumia dawa ya meno inayoeleweka achana na hizi za buku jero😁 mimi ndio dr wako kwanzia leo.Dr fizi ya ndani ya meno ya juu imevimba inauma nifanyaje ipoe? Nahisi imeanza jioni hii
Ulikua bize kuwajibu wanafki ukanipuuzia😭Ulikuwa wapi nilipokuwaga nalia nahitaji mume
Nimelia sana😂Tumia dawa ya meno inayoeleweka achana na hizi za buku jero😁 mimi ndio dr wako kwanzia leo.
Usilie bhana utavimba macho 😊Nimelia sana😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ulikuwa wapi nilipokuwaga nalia nahitaji mume
Unapoteza fursa wewe 😀 😀Sijawahi kumreport mtu
Humu kuna memba na mamba
Muda mwingine tunakosea inakua bahati mbaya inatokea unazoeana na mtu asiye sahihi kupitiliza, kwenye mazoea kila mtu na lengo lake mmoja anataka mzigo mwingine anajua huyu ni mshkaji tumezoeana tu
Mtu akinyimwa mzigo ananuna anatumia ids zake nyingine kukusakama
Kitu nilichojifunza ni kufunga pm, maongezi yote jukwaani🤸
Maisha ni haya haya, mbinguni ni hukumu tuKula maisha
Hebu panga mwenyewe bajeti ya hiyo laki tano. Unataka iweje. Vinywaji/chakula, malazi, Posho ya pisi, tahadhari.Laki moja kweli yaani vinywaji vinapita hela ya pisi kali wewe huwatakii wenzio mema nyoo baki na shida zako aisee labda waje wa buza
Apana mkuu kila binadamu yupo sawa , tunazidiana tu aina ya maisha tunayoishi nayo si kitu pia, kama bado wote mwisho wetu ni mmoja tuKuna mod mmoja ni Female ila ukimtizama yeye na REMY ONGALA ndo utaamini duniani wawili wawili
Sawa na mimi kwenye mitongozo yangu yote kwako nafanyia humu humu nimeipenda hiyo 🤗Sijawahi kumreport mtu
Humu kuna memba na mamba
Muda mwingine tunakosea inakua bahati mbaya inatokea unazoeana na mtu asiye sahihi kupitiliza, kwenye mazoea kila mtu na lengo lake mmoja anataka mzigo mwingine anajua huyu ni mshkaji tumezoeana tu
Mtu akinyimwa mzigo ananuna anatumia ids zake nyingine kukusakama
Kitu nilichojifunza ni kufunga pm, maongezi yote jukwaani🤸
Wewe siulisema unashangaa watu wanavyohusiana humu wakati hawajuani😂Sawa na mimi kwenye mitongozo yangu yote kwako nafanyia humu humu nimeipenda hiyo 🤗
Mhm watu hubadilika kulingana na watu wena ambao hukutana nao 😊Wewe siulisema unashangaa watu wanavyohusiana humu wakati hawajuani😂
Kabisa mkuuMhm watu hubadilika kulingana na watu wena ambao hukutana nao 😊
ndio tupo hapa tunaweka mipango sawa, 😀 😀 😀 njoo ushuhudie
Sure binafsi jf nimekutana na watu makini na muhimu sana kwenye maisha yangu, naona jf wananidai nyuzi kana 10 za moto ,sema najiona bado sina uwezo wa kuanzisha uzi kutokana na miamba ya nyuzi humu wana weledi mkubwa naona mimi bado aisee.
Unahofia nini? Kama uandiki mbona unajua kuandika! Muhimu zimgatia aya na upangaji mzuri wa matukioSure binafsi jf nimekutana na watu makini na muhimu sana kwenye maisha yangu, naona jf wananidai nyuzi kana 10 za moto ,sema najiona bado sina uwezo wa kuanzisha uzi kutokana na miamba ya nyuzi humu wana weledi mkubwa naona mimi bado aisee.