Wikiendi yangu ya leo

Unapoteza fursa wewe 😀 😀
 
Sawa na mimi kwenye mitongozo yangu yote kwako nafanyia humu humu nimeipenda hiyo 🤗
 
Kabisa mkuu
Tunajifunza kutokana na makosa na watu tunaokutana nao

Equation x tupe feedback
Sure binafsi jf nimekutana na watu makini na muhimu sana kwenye maisha yangu, naona jf wananidai nyuzi kana 10 za moto ,sema najiona bado sina uwezo wa kuanzisha uzi kutokana na miamba ya nyuzi humu wana weledi mkubwa naona mimi bado aisee.
 
Sure binafsi jf nimekutana na watu makini na muhimu sana kwenye maisha yangu, naona jf wananidai nyuzi kana 10 za moto ,sema najiona bado sina uwezo wa kuanzisha uzi kutokana na miamba ya nyuzi humu wana weledi mkubwa naona mimi bado aisee.
Unahofia nini? Kama uandiki mbona unajua kuandika! Muhimu zimgatia aya na upangaji mzuri wa matukio
Jf imenikutanisha na watu wawili wa muhimu sana kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…