Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Never everJiandae kupata kipigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Never everJiandae kupata kipigo
Nilipokuwa mdogo nilikuwa nawatamani sana 😀"Akipita watu wanageuka". 🥴🥴 naijuwa hyo🥴.
Waswahili wanasema kazi na dawaKazi ipo mwaka huu
Kazi inaendelea mkuuKazi ipo mwaka huu
huna baya tajiri 😊😊😊😀 😀 😀 wine gani unakunywa
Natamani nimtag mtu aje kukupa ushuhuda🤸Wewe je?
Anatafuta wanafunzi aharibu maisha yao, hahaDau lake sjaona au n mrembo wa K3 kula, kulwa na kunyweshwa.
Hii kwa kawaida na kiafya, mtu anatakiwa atumie kiasi ganihuna baya tajiri 😊😊😊
MERLOT kama kawaida
naanza maombi saizi mpaka umalize kula bata na mrembo wako
Kwanini umtag mtu wakati wewe mwenyewe uliniambia kilo zako ni 80 tumbo mbele mbele na tako ni sifuri .Natamani nimtag mtu aje kukupa ushuhuda🤸
😀😀😀 kila la heri mkuu ila utavuna unachotaka kukipandaNina ka mia tano hapa mfuko wa shati 😀, natafuta pisi inayojitambua tukaitumie jioni ya leo.
Matumizi yatakuwa kama ifuatavyo:-
Chakula.........100,000/= Vinywaji.........200,000/= Malazi..............100,000/= Tahadhari........100,000/=Kama unajiamini wewe ni pisi kali, ukipita sehemu lazima watu wavunjike shingo kwa kukutazama, sogea karibu uje ufurahi na marafiki.
Sawa mkuu
Mwezi wa kulipa ada huu 😀Kwa wale wabibi watu wazima mliomo humu jukwaani! Hamjatengwa!! Kwa yeyote yule mwenye nafasi, aje Lushoto siku ya kesho ili abadilishe mazingira.
Chakula na malazi ni juu yangu. Nauli ya kuja na kurudi, ni juu yako mwenyewe.
NB:- Jitahidi uje peke yako. Usije na wajukuu wako.
Nishakwambia siku tukikutana nikikuambia ndio mimi hutoaminiKwanini umtag mtu wakati wewe mwenyewe uliniambia kilo zako ni 80 tumbo mbele mbele na tako ni sifuri .
Hawa wa miaka 35+ hawaombi ombi ela ovyo; wao wanataka kufurahi tuAnatafuta wanafunzi aharibu maisha yao, haha
Hapo mwamba kama vile naona hesabu zako.
Kuvuna nini tena?😀😀😀 kila la heri mkuu ila utavuna unachotaka kukipanda
😊 nitaamini tu kwa sababu binadamu ni wale wale tu kichwa miguu masikio mdomo na nk labda uwe na masikio kama ya aliens 👽Nishakwambia siku tukikutana nikikuambia ndio mimi hutoamini
Muhimu tu majuto na vilio visiwepo pale simu za vitisho zitakapoanza kupigwa na wakuu wa shule. 😁Mwezi wa kulipa ada huu 😀