Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Pamoja kamanda, sema tu vijana wajeuri wana hasira na maisha ndio maana wanatukana sana watu wasiowajua😂Nakubaliana na wewe
Kabisa mimi nina mjua mmoja anaishi London ni chuma cha hatari yupo humu, tunafahamiana nae kuna mda nachangia utumbo humu analike au kucheka mpka najishtukia .Sure , i had a trip to Moshi town last 3 weeks, niliitwa na member mmoja humu, japo alikuja kwa id mpya ili nisimtambue, ilikua ni mazungumzo strict ya kazi. Aloo, kuna pisi humu. Sema yeye ni age go kidogo around 40 hiv, kashuka zake mwenyewe ana push Harrier yake kali. Tukamaliza nikasepa kurud town ,na hiyo id sijaona tena ikiwa active ndio nikajua ilikua kikazi zaid..
So , wapo wanawa zoom tu vujana mnavyoleta makeke ya kifala fala, mara ooh single maza, mara nyoko nyoko,🙄wao kimyaaa 😂😂. Women are so clever.
Unachokisema ni kweli Mkuu nilishawahi kukutana na Dada fulani humu humu na sasa hivi hayuko tena active. Lakini namba yake kanipa ana ishu zake za maana sana lakini Vijana wa humu walivyo wa hovyo walikuwa wanam quote na kumshusha sana thamani. Lakini kiuhalisia maisha yake ni standardPamoja kamanda, sema tu vijana wajeuri wana hasira na maisha ndio maana wanatukana sana watu wasiowajua😂
Kabisa Mkuu usemaloPamoja kamanda, sema tu vijana wajeuri wana hasira na maisha ndio maana wanatukana sana watu wasiowajua😂
Huyo anapenda kuweka chai zisizokuwa na vitafunwa 😂😂😂Umeshiba mwenyewe 🤣
Kwa Raha zako!
Humu tunaishi nao tyuu!! Km ulivyo ww unavyotuchukulia poa 😂😂😂😂Unachokisema ni kweli Mkuu nilishawahi kukutana na Dada fulani humu humu na sasa hivi hayuko tena active. Lakini namba yake kanipa ana ishu zake za maana sana lakini Vijana wa humu walivyo wa hovyo walikuwa wanam quote na kumshusha sana thamani. Lakini kiuhalisia maisha yake ni standard
Waambie na "uchakavu wa godoro" unalipa Tsh ngapi?Nina ka mia tano hapa mfuko wa shati 😀, natafuta pisi inayojitambua tukaitumie jioni ya leo.
Matumizi yatakuwa kama ifuatavyo:-
Chakula.........100,000/= Vinywaji.........200,000/= Malazi..............100,000/= Tahadhari........100,000/=Kama unajiamini wewe ni pisi kali, ukipita sehemu lazima watu wavunjike shingo kwa kukutazama, sogea karibu uje ufurahi na marafiki.
Kawaida kwenye ulimwengu wa fake ids hatujuani kila mtu anaongea anavyojisikia.Sure , i had a trip to Moshi town last 3 weeks, niliitwa na member mmoja humu, japo alikuja kwa id mpya ili nisimtambue, ilikua ni mazungumzo strict ya kazi. Aloo, kuna pisi humu. Sema yeye ni age go kidogo around 40 hiv, kashuka zake mwenyewe ana push Harrier yake kali. Tukamaliza nikasepa kurud town ,na hiyo id sijaona tena ikiwa active ndio nikajua ilikua kikazi zaid..
So , wapo wanawa zoom tu vujana mnavyoleta makeke ya kifala fala, mara ooh single maza, mara nyoko nyoko,🙄wao kimyaaa 😂😂. Women are so clever.
Hata siku moja huwa simu underrate au kumchukulia poa Member wa humu kama vile Maxence Melo anavyo tu heshimu Members wake.Humu tunaishi nao tyuu!! Km ulivyo ww unavyotuchukulia poa 😂😂😂😂
Ni sahihi kabisa. Na ina raha yake..Mi ndio maana sikawii, ukikatiza vibaya nakushushia mvua heavy..tutaimbana msamaha tukionana 😂Kawaida kwenye ulimwengu wa fake ids hatujuani kila mtu anaongea anavyojisikia.
Fake ids sio chanzo cha kutweza na kutukana watu. Aisee yaaan Vijana wa humu huwa wanawadhalilisha sana Wazazi wao.Kawaida kwenye ulimwengu wa fake ids hatujuani kila mtu anaongea anavyojisikia.
Maxence Melo hata hatuheshimu, asingekua anafuta nyuzi zetu kirahis rahis tuHata siku moja huwa simu underrate au kumchukulia poa Member wa humu kama vile Maxence Melo anavyo tu heshimu Members wake.
WatakumwanzaNina ka mia tano hapa mfuko wa shati 😀, natafuta pisi inayojitambua tukaitumie jioni ya leo.
Matumizi yatakuwa kama ifuatavyo:-
Chakula.........100,000/= Vinywaji.........200,000/= Malazi..............100,000/= Tahadhari........100,000/=Kama unajiamini wewe ni pisi kali, ukipita sehemu lazima watu wavunjike shingo kwa kukutazama, sogea karibu uje ufurahi na marafiki.
Wengine wanakuja kujiponya maumivu yao , sasa anapotukana anataka akushirikishe maumivu yake ,na wewe ukijaa ukachukia anakua keshakumaliza .Fake ids sio chanzo cha kutweza na kutukana watu. Aisee yaaan Vijana wa humu huwa wanawadhalilisha sana Wazazi wao.
Mkuu huyu jamaa utamuonea na ni mara chache sana yeye kujihusisha na JF. Hata ukiwa na shida ukimcheki kwa WhatsApp anakupa maelekezo vizuri shida ipo kwa hawa Moderators. Kama mwezi mmoja na zaidi alinicheki WhatsApp kuhusu matumizi ya email yenye domain ya Jamiiforums. Lakini tayari hiyo Technical team ya JF walishaifuta na wamenitia sana hasaraMaxence Melo hata hatuheshimu, asingekua anafuta nyuzi zetu kirahis rahis tu
Sasa mbona unasema wazuri wakati wengi ni kina lipumba na ndugaiNikuulizeje tena wewe mkuu , kwani mimi siwajui😁😁
Mimi sio pisi kali mkuuWahi mapema, nafasi ni moja tu; hakuna kula tembele leo
Hahahhh tupige 119😀Anatafuta wanafunzi aharibu maisha yao, haha
Pyee😂Huyo anapenda kuweka chai zisizokuwa na vitafunwa 😂😂😂