simbaulanga
Member
- Nov 29, 2010
- 6
- 5
Latest news, comment and reviews from the Guardian | guardian.co.ukTuwekee link ya wikileaks hapa tuone kuna nini mkuu.
The media is so powerful today in terms mass influencing than anything else. It has become the source of their propaganda as at it can be reached by the masses around the globe, just has they conviced most of you about Mugabe.
Im beggining to think white man has no tricks left under his sleeves and the world is getting smarter.
Time 4:14
Re: Wikileaks - Ukraine in USA Diplomatic mail
TAG
29 Nov 2010 05:13
IP/Host: 193.239.129.---
Cable Viewer
¶6. (S/NF) Finally, Qadhafi relies heavily on his long-time
Ukrainian nurse, Galyna Kolotnytska, who has been described as a
"voluptuous blonde." Of the rumored staff of four Ukrainian
nurses that cater to the Leader's health and well-being, XXXXXXXXXXX emphasized to multiple Emboffs that Qadhafi
cannot travel without Kolotnytska, as she alone "knows his
routine." When Kolotnytska's late visa application resulted in
her Security Advisory Opinion being received on the day
Qadhafi's party planned to travel to the U.S., the Libyan
Government sent a private jet to ferry her from Libya to
Portugal to meet up with the Leader during his rest-stop. Some
embassy contacts have claimed that Qadhafi and the 38 year-old
Kolotnytska have a romantic relationship. While he did not
comment on such rumors, a Ukrainian political officer recently
confirmed that the Ukrainian nurses "travel everywhere with the
Leader."
View attachment 17725
Wataalamu wa nuclear wa Iran wanauwawa mmoja mmoja kule kule IRAN
IRAN WENYEWE HAWAJUI NANI KAFANYA HAYO MAUAJI,ILA WANAHISI TU KUWA ISRAEL AU USA,CHEKI LINK HIYO HAPO CHININani anawauwa na kwa nini?
Juma;
You want me to believe ... wikileaks are smater than CIA and FBI..? Mzee inashangaza!!
... so far am suprised ... why CIA and FBI ... has afailed to contain the wikileaks!!
... who are this wikileaks???
Usiwashangae Waarabu. Ni wanafiki mno na wana wivu mno.
Saudi Arabia iko tayari kumtosa Iran Abutuliwe na Marekani kuliko kumwona akipata silaha za Nyuklia na kuwa na nguvu kuliko wao. Ni wivu zaidi ndio unaomsumbua ndio maana Middle East haiwezi kuwa Independent.
It is the same Spirit which operate in Iran . They blow the crap out of each others faces while leaving their real enemy walking in piece. Unless the Arabs change their attitude and stop their hypocrisy they will continue to be kicked forever.
Kwani Iran ikiwa na nuclera Saudi watapata hasara gani wote si Waislam na adui yao ni mmoja?
Usiwashangae Waarabu. Ni wanafiki mno na wana wivu mno.
Saudi Arabia iko tayari kumtosa Iran Abutuliwe na Marekani kuliko kumwona akipata silaha za Nyuklia na kuwa na nguvu kuliko wao. Ni wivu zaidi ndio unaomsumbua ndio maana Middle East haiwezi kuwa Independent.
It is the same Spirit which operate in Iran . They blow the crap out of each others faces while leaving their real enemy walking in piece. Unless the Arabs change their attitude and stop their hypocrisy they will continue to be kicked forever.
Ninafurahi sana ninapoona mtu anayekataa kufuata mkumbo. Ulichoandika ndiyo nimekuwa nafikiria kuhusu hii wikileaks. Marekani inapapatika sasa hivi, haina uhakika adui ni nani na rafiki ni nani, wanajaribu kutingisha kiberiti kuona kitakachotokea. Kwa tunaofuatilia siasa za dunia kwa karibu, tunajua kwa mfano, Ban Ki Moon alipoingia na kumteua Dr. Migiro kuwa msaidizi wake iliraise alarm kwa wakubwa, na mpaka leo naamini wanajiuliza na kuchunguza maana ya uteuzi huo (ikijumuisha uhusiano wa uteuzi huo na connection iliyopo, kama ipo, kati ya S. Korea, N. Korea, Japan na China kwa mfano). Wakati watanzania mnashangilia uteuzi, wengine tulikuwa tunakuna vichwa tukijua kuna wakubwa hawatalala huko).
Hizo habari za kukusanya data za afya za viongozi wa dunia zilisharipotiwa kwenye miaka ya 2002-2003 hivi. Kuhusu S. Arabia na Iran, kama ulivyosema motive inaweza kuwa kuwachonganisha, au kama nilivyosema wanataka kupata undani zaidi wa jinsi hii so-called terrorism inavyoendeshwa, ni tofauti sana na wengi wanavyofikiri, na intelligence ya wamarekani imegundua inaingizwa kwenye mitego.
Binafsi, naamini siasa za ndani za TZ zinachezwa kwa ajili ya watazamaji wa nje ya nchi. Hizo drama za CUF vs CHADEMA vs CCM ni shell game tu. Niliposti hapa wakati wa uchaguzi nikiwaambia watu waache kupoteza muda wao na siasa. Kuna nchi nyingi miaka ya karibuni intelligence community ndiyo zimeingia na zinazoendesha nchi, ikiwemo kuwepo kabisa kwenye vurugu za kisiasa, mfano Pakistani. Kwa mtazamo wangu, TZ ni hivyo hivyo (na hii haimaanishi kila mwanasiasa yupo kwenye intelligence).
Wataongeleaje Zimbabwe na kumuongelea Mbeki kwamba alikuwa bias na kushindwa kumuongelea JK na support aliyoonyesha kwa Mugabe? Wangapi mnakumbuka ule mkutano ambapo baadaye JK alisema 'tutashinda hata kama all odds are against us'? Au ndiyo moja ya mambo walitoblock wikileaks wasi-release? Wangapi walioangalia uchaguzi wa iran na vurugu zilizotokea, katika muelekeo tofauti zaidi tu ya ule wa 'Ahmadinejad na wenzake wameiba kura'?
Wanajaribu kuiintroduce hii Wikileaks kama reliable source of information. Na njia gani nzuri zaidi ya kuonyesha wanaweza kutoa siri za serikali ya marekani? Nia ni siku za mbele kuitumia kuzitikisa na kuzivuruga nchi zingine.
Kuna njia nyingi za kusema uongo na kumanipulate watu, na hawa watu wamefuzu kwenye fani hii.
big up wikileaks, ngoja tujue mengi. ila nashangaa pamoja na ubabe wa marekani wameshindwa kuzuia taarifa zote za siri kuvuja through computer