WikiLeaks: Kikwete aliwaombea Jairo na January Makamba mafunzo US

Vijizawadi zawadi na shopping sio mbaya.

Ni sawa tu na urefu wa kamba.
 
Nchi ya kitu kidogo, nchi ya watu wadogo.
 
Mbowe alivyovuta bilioni mbili ampe Lowasa nafasi ya kugombea urais
 
Kwa nini hapo chini imeandikwa : WHITE?
 
Sijui kwa nini awamu ya Rais kutoka dini flani ndiyo rushwa huwa inashamiri.
 
Sijui kwa nini awamu ya Rais kutoka dini flani ndiyo rushwa huwa inashamiri.
Wacha upuuzi. Usilete udini ktk nchi yetu. Mwalimu Nyerere hakujenga Taifa la WADINI. Na hii tabia ya kuchafua viongozi hasa mzee Kikwete acheni. πŸ™πŸ™πŸ™
 
Wacha upuuzi. Usilete udini ktk nchi yetu. Mwalimu Nyerere hakujenga Taifa la WADINI. Na hii tabia ya kuchafua viongozi hasa mzee Kikwete acheni. πŸ™πŸ™πŸ™
Umeanza vizuri, ukamalizia kudhihirisha ujinga wako
 
Kwa nini Mkapa alikubali kuwa na Waziri mla rushwa kwenye cabinet yake? Na Mkapa alitajirikaje madarakani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…