WikiLeaks: Releases About Raila Odinga

WikiLeaks: Releases About Raila Odinga

Status
Not open for further replies.
Yale mambo tulikuwa tunadiscuss na Dalai Lama. Nilikuwa Nairobi in 2000.kulikuwa na Uchauzi,kulikuwa na campaign kubwa kule. Nikatuma e-mail kwa Dalai Lama,naongea na secretary wake anaitwa Rinchen,nikamwambia nasikitika kuhusu hasira wanazoonyesha waandamanaji wa Tibet. Hasira za nini wanapogombana na Wachina,hawawezi kumchoma kisu Mchina bila kuwa na hasira?
Yule secretary ananiandika anasema,Dalai Lama anataka ufafnue zaidi kuhusu maneno uliyoandikakwa nini umeandika vile.
Kwa hiyo mi namjibu,nipo hapa Nairobi kuna Kampeni za Uchaguzi zinaendelea. Raila Odinga analaumiwa kwamba anahsika na kifo cha University Professor mmoja ambaye alikuwa ana hasira sana. Mimi nilizitfakari sana hizi tuhuma dhidi ya Raila. Halafu ikaja aya akilini mwangu,unbidden,aya ya Budha . Budha aliulizwa,''Budha,do you recommend killing,is there anytime that you would recommend kllling?'' Budha akasema,''I recommend the slaying of anger''
Nikajibiwa,keep on writing ,Dalai Lama anapenda mambo unayoandika

 
Mimi ninayemjua Andrew siwezi kushangaa kwa sababu nishakutana naye katika mkutano wa kutafsiri "Dhammapada" kwenda kwenye Kiswahili. Kwa hiyo habari ya kumuandikia Dalai Lama hata si hatari, hata kama angeniambia kapanda Dharamsala kwenda kumuona kwenye seat of exiled government nisingeshangaa. Dalai Lama ni mtu wa watu sana, hata wewe ukimwandikia siwezi kushangaa akikujibu mwenyewe, kutegemea na schedule yake kwa wakati huo.

Halafu Andrew anaweza kukwambia kwamba ametuma email tu na kuanza kudiscuss email na Dalai Lama kwenye meditation yake.

Hata hujajua ka discuss vipi usharukia?

Kwa hiyo hii ndio ku discuss na Dalai Lama? Nadhani ulivyomuuliza Andrew Dalai Lama alijibu nini ungesubiri majibu yake kabla ya kuanza kunisuta.

Nikidiscuss na Secretary wa MD nitakuwa nimediscuss na MD?

Yale mambo tulikuwa tunadiscuss na Dalai Lama. Nilikuwa Nairobi in 2000.kulikuwa na Uchauzi,kulikuwa na campaign kubwa kule. Nikatuma e-mail kwa Dalai Lama,naongea na secretary wake anaitwa Rinchen,nikamwambia nasikitika kuhusu hasira wanazoonyesha waandamanaji wa Tibet. Hasira za nini wanapogombana na Wachina,hawawezi kumchoma kisu Mchina bila kuwa na hasira?
Yule secretary ananiandika anasema,Dalai Lama anataka ufafnue zaidi kuhusu maneno uliyoandikakwa nini umeandika vile.
Kwa hiyo mi namjibu,nipo hapa Nairobi kuna Kampeni za Uchaguzi zinaendelea. Raila Odinga analaumiwa kwamba anahsika na kifo cha University Professor mmoja ambaye alikuwa ana hasira sana. Mimi nilizitfakari sana hizi tuhuma dhidi ya Raila. Halafu ikaja aya akilini mwangu,unbidden,aya ya Budha . Budha aliulizwa,''Budha,do you recommend killing,is there anytime that you would recommend kllling?'' Budha akasema,''I recommend the slaying of anger''
Nikajibiwa,keep on writing ,Dalai Lama anapenda mambo unayoandika
 
Yes Kunta Kinte, It is highly possible. You can even disscuss with anyone in this world. Of course Andrew Nyerere is right to express his feelings. I did almost the same to discuss with Rt Rev Jesse Jackson political fate of SA, I also had a couple of dialogue with Jerry Rawlings the other time. It was face to face encounter. All of us, we are equal but in different positions.

Don't imitate this phrase "Why was I born in this race?"
"Why was I not born in different face?"
"I wish I would have smile"
"Which could lead me to an extra mile"

Out of you Box Kunta.



You discussed with Dalai Lama?! Wewe!? Jamani tumuogopeni Mungu!!
 
Last edited by a moderator:
Yes Kunta Kinte, It is highly possible. You can even disscuss with anyone in this world. Of course Andrew Nyerere is right to express his feelings. I did almost the same to discuss with Rt Rev Jesse Jackson political fate of SA, I also had a couple of dialogue with Jerry Rawlings the other time. It was face to face encounter. All of us, we are equal but in different positions.

Don't imitate this phrase "Why was I born in this race?"
"Why was I not born in different face?"
"I wish I would have smile"
"Which could lead me to an extra mile"

Out of you Box Kunta.


Mkuu inawezekana unachosema, unaweza ku discuss na mtu usiyemjua kwenye suala linalohusu field yake na si field tofauti. mfano naweza kumpigia simu mkuu wa polisi nikaongea naye masuala yahusuyo ujambazi na majambazi na akanisikiliza hata kama hanijui, lakini ni ngumu kuongea naye siasa kwani hiyo sio field yake na hawezi iongelea kwa mtu mgeni kwake

Andrew angesema ameongea na Dalai Lama kuhusiana na masuala ya Tibet na waTibet au Wachina nisingeshtuka, lakini yeye kusema ameongea naye kuhusiana na Raila Odinga na jinsi gani angeweza kuwa raisi mzuri kwa Wakenya hilo kwangu ni gumu kuamini
 
Haya maswala ya dictatorship ni irrelevant. Kazi ya Serikali ni kuondoa ufisadi na kuinua hali ya maisha ya watu. It does not matter what form of government is used to achieve these objectives.
Halafu huyu mtu anaongea haya mambo kama campaing rhetoric. Mimi nilikuwa Nairobi wakai ule in 200,nilimtumia Dalai Lama e-mail kumjadili Raila Odinga,jinsi ambavyo Raila Odinga angeweza kuwa kiongozi mzuri wa Kenya,I was discussing it with the Dalai Lama.

Kaka Shikamoo!
 
Kwa hiyo hii ndio ku discuss na Dalai Lama? Nadhani ulivyomuuliza Andrew Dalai Lama alijibu nini ungesubiri majibu yake kabla ya kuanza kunisuta.

Nikidiscuss na Secretary wa MD nitakuwa nimediscuss na MD?

Yale mambo tulikuwa tunadiscuss na Dalai Lama. Nilikuwa Nairobi in 2000.kulikuwa na Uchauzi,kulikuwa na campaign kubwa kule. Nikatuma e-mail kwa Dalai Lama,naongea na secretary wake anaitwa Rinchen,nikamwambia nasikitika kuhusu hasira wanazoonyesha waandamanaji wa Tibet. Hasira za nini wanapogombana na Wachina,hawawezi kumchoma kisu Mchina bila kuwa na hasira?
Yule secretary ananiandika anasema,Dalai Lama anataka ufafnue zaidi kuhusu maneno uliyoandikakwa nini umeandika vile.
Kwa hiyo mi namjibu,nipo hapa Nairobi kuna Kampeni za Uchaguzi zinaendelea. Raila Odinga analaumiwa kwamba anahsika na kifo cha University Professor mmoja ambaye alikuwa ana hasira sana. Mimi nilizitfakari sana hizi tuhuma dhidi ya Raila. Halafu ikaja aya akilini mwangu,unbidden,aya ya Budha . Budha aliulizwa,''Budha,do you recommend killing,is there anytime that you would recommend kllling?'' Budha akasema,''I recommend the slaying of anger''
Nikajibiwa,keep on writing ,Dalai Lama anapenda mambo unayoandika

Andrew anakwenda kwenye fourth spatial dimension kutafuta dark matter akinywa quinine na kufanya meditation, anadiscuss hata na Buddha au Yesu.

Nini Dalai Lama tu.

Halafu si jambo la ajabu kuwasiliana na a busy world leader through an intermediary.

Context.
 
Andrew anakwenda kwenye fourth spatial dimension kutafuta dark matter akinywa quinine na kufanya meditation, anadiscuss hata na Buddha au Yesu.

Nini Dalai Lama tu.

Halafu si jambo la ajabu kuwasiliana na a busy world leader through an intermediary.

Context.

If thats the case I rest my case bro!! Nitasema nini zaidi?
 
I respect your feelings Kunta Kinte. You R right. If you are or you are not a lawyer I believe you know meaning of "REASONING" keep it up bro......salute!

Mkuu inawezekana unachosema, unaweza ku discuss na mtu usiyemjua kwenye suala linalohusu field yake na si field tofauti. mfano naweza kumpigia simu mkuu wa polisi nikaongea naye masuala yahusuyo ujambazi na majambazi na akanisikiliza hata kama hanijui, lakini ni ngumu kuongea naye siasa kwani hiyo sio field yake na hawezi iongelea kwa mtu mgeni kwake

Andrew angesema ameongea na Dalai Lama kuhusiana na masuala ya Tibet na waTibet au Wachina nisingeshtuka, lakini yeye kusema ameongea naye kuhusiana na Raila Odinga na jinsi gani angeweza kuwa raisi mzuri kwa Wakenya hilo kwangu ni gumu kuamini
 
Last edited by a moderator:
It was the year 2000 and not 200,thank you for noticing the mistake. Inekuwa 200,basi mimi ningekuwa Babaji,amabye alizaliwa Chenai[Madras],mwaka 200,na mpaka leo yuko hai.
 
It was the year 2000 and not 200,thank you for noticing the mistake. Inekuwa 200,basi mimi ningekuwa Babaji,amabye alizaliwa Chenai[Madras],mwaka 200,na mpaka leo yuko hai.
Babaji? born 200 AD and still alive today- must be kidding!
 
Nonsense! Kenya is being ruled by Kikuyu gangs. Its is difficult to know how long will these divisiveness continue. At the moment there are strong disaffection in the Coastal areas ambazo hata hivyo naona wameamua kushughulikia kwa kutumia polisi/jeshi. Lakini uhasama huu unakuwa kwa kasi wakati wakikuyu wakiwa obsessed na Nairobi na waluo waki endekeza kulia kama watoto wadogo. Mimi ninawaona wote wamelewa ujinga tu!
 
You discussed with Dalai Lama?! Wewe!? Jamani tumuogopeni Mungu!!

mbishie kwingine, usmbishie katika hilo.
Andrew ni Budha mzuri, who has gone to places and met with people. You never know who replies your comment...
Never under estimate the people you find on JF, they are anybodies you just hear and read about them.
 
Wakuu,

Hapa naona mada ishapinda na kwa hivyo nyuzi inafungwa.

Samahani kwa usumbufu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom