Wilaya ambazo hazijawamalizia pesa za kujikimu walimu wapya mnawatesa kuweni na ubinadamu

Wilaya ambazo hazijawamalizia pesa za kujikimu walimu wapya mnawatesa kuweni na ubinadamu

Wenzenu mwaka jana tulilala pale Halmashauri ya wilaya ya Magu, baada ya hapo kila kitu kilenda sawa kbs. Acheni kulalamika, jiungeni muwe na sauti moja hapo mtackilizwa!
 
walitupa TSH157500 toka tarehe1,mpaka leo njaa kali vbaya sana! jana nmeandka barua na wameniambia eti PESA YA SERIKALI ina mchakato mrefu,kwa hyo nisitegemee wiki hii,labda wiki mbili zipite, N:B-NAHSI KAZI NGUMU KWELI,NATAMANI NIRUDI NYUMBANI.

Mwandikie Mkurugenzi Barua Ya Kumjulisha Kuwa Unarejea Nyumbani Hadi Hapo Hela Itakapopatikana Wakujulishe Ili Urudi Uendelee Na Kazi Kwani Huna Pesa Utaishije?
 
nasikitika kwamba baadhi ya wilaya hazijawapa walimu pesa ya kutosha za kujikimu walimu wapya licha ya kuwapeleka vijijin kusikokuwa na huduma za mhimu. Je wanaanzaje maisha walimu hawa kwa pesa kidogo za siku tatu au nne wakat wanatakiwa kupewa pesa ya siku 7? Je mtu anaweza kuanza maisha kwa 135000 au 195000? Je anaweza pata chakula, godoro, na mahtaj mengne ikiwa n pamoja na kodi ya nyumba, maj tukiondoa umeme kwa xabab cio wote wenye umeme, je mnataka kuharbu hata maisha za dada zetu maana watafanya nn zaid ya kutafuta altenative kama za kutafuta wanaume wa kuwahifadh!!? Je toka tarehe .1 had leo mtu anaweza kuish kwa pesa hzo* kuwen na utu jaman mnadhalilisha taaluma za watu....hebu tushirikkane kuzitaja halmashauri hiz tuzijue +

kwa mujibu wa taarifa za wachangiaj thread hii wilaya hizo n kama ifuatavyo;
SENGEREMA,
NJOMBE,
pia nimepata taarifa toka kwa mdau mwingine kaniambia kuna baadhi ya wilaya za mkoa wa Dodoma zimefanyiwa mchezo huo zikiwemo;
DODOMA MJINI,
KONGWA,
lakini Dodoma mjini wamemaliziwa mapema mwishon mwa wiki jana, ntaendelea kuwapa updates kwa mujibu wa wachangiaj na taarifa zingine

NAMTUMBO pia ni wilaya ambayo haijawalipa walimu pesa zote. wamepewa za cku tatu tu. mbaya zaidi wamepelekwa vituo vya mbaaaali nauri hadi 25000/=. jamani inakatisha tamaa hata kupiga pindi ukikumbuka umenyimwa pesa zako. jamani watumishi wa halmashauri badilikeni bana make mnachangia kwa kiasi kikubwa kuharibu elimu. walimu wanapata shidaaaaa.
 
Back
Top Bottom