kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,872
Kisarawe hiihii ya jafo?? Mbona watu wanaikataa sana wanasema kukame mnoNenda kisarawe kijiji cha msimbu!
Hautajutia ndugu yangu
Fuatilia vizuri kijiji nilichokitaja hapo juu!Kisarawe hiihii ya jafo?? Mbona watu wanaikataa sana wanasema kukame mno
Ngoja nifuatilieFuatilia vizuri kijiji nilichokitaja hapo juu!
Ardhi saaafi yenye kichanga cheupe!
Maji yapo ya kutosha!
Ardhi bei cheeee!
Umeme umefika!
Near to Dar
IlalaUkiachana na dar es salaam, natamani kujua wilaya nzuri Kwa ajili ya kuishi, ambayo inaweza ikawa pia nzuri Kwa kufanya biashara, Hali ya hewa iwe nzuri, kununua ardhi isiwe ghali kama dar, maji, umeme viwe uhakika.
Karibuni, bila kusahau internet iwe 4G uhakika mitandao yote
Au sioIlala
Yaan sitaki kelele nyingi wewe nenda Ilala sehemu yoyote fungua biashara,
Nb: usiachane na Dar
mkurangaDCUkiachana na dar es salaam, natamani kujua wilaya nzuri Kwa ajili ya kuishi, ambayo inaweza ikawa pia nzuri Kwa kufanya biashara, Hali ya hewa iwe nzuri, kununua ardhi isiwe ghali kama dar, maji, umeme viwe uhakika.
Karibuni, bila kusahau internet iwe 4G uhakika mitandao yote
SijakuelewamkurangaDC
R.I.P Laogwanan comrade ENL
Ila kweli ilala maendeleo yanakimbia sanaIlala
Yaan sitaki kelele nyingi wewe nenda Ilala sehemu yoyote fungua biashara,
Nb: usiachane na Dar
mkuranga mkoani pwaniSijakuelewa
KAHAMA.Ukiachana na Dar es Salaam, natamani kujua wilaya nzuri Kwa ajili ya kuishi, ambayo inaweza ikawa pia nzuri Kwa kufanya biashara, Hali ya hewa iwe nzuri, kununua ardhi isiwe ghali kama dar, maji, umeme viwe uhakika.
Karibuni, bila kusahau internet iwe 4G uhakika mitandao yote
Labda kama ameshastaafuFuatilia vizuri kijiji nilichokitaja hapo juu!
Ardhi saaafi yenye kichanga cheupe!
Maji yapo ya kutosha!
Ardhi bei cheeee!
Umeme umefika!
Near to Dar
Kweli hata Mimi nmepaona papo kistaafu zaidiLabda kama ameshastaafu
NitapafuatiliaWilaya Ya Tanganyika Mkoani Katavi
Ardhi sio Gali???KAHAMA.
Kuna Ardhi Ya KutoshaNitapafuatilia