kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,114
- 1,872
- Thread starter
- #21
[emoji736]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji736]
Nenda Korogwe utanishukuru badae.Ukiachana na Dar es Salaam, natamani kujua wilaya nzuri Kwa ajili ya kuishi, ambayo inaweza ikawa pia nzuri Kwa kufanya biashara, Hali ya hewa iwe nzuri, kununua ardhi isiwe ghali kama dar, maji, umeme viwe uhakika.
Karibuni, bila kusahau internet iwe 4G uhakika mitandao yote
Masasi
Fafanua kidogo chiefNenda kisarawe kijiji cha msimbu!
Hautajutia ndugu yangu
Pana ardhi nzuri na bei cheee!
Kwa vigezo ulivyoviweka hapo nakushauri nenda wilaya ya Nachingwea mkoa wa Lindi.
Wilaya zote za Mkoa wa Mbeya,Ruvuma, Morogoro,Pwani,Katavi,Rukwa na Lindi nkUkiachana na Dar es Salaam, natamani kujua wilaya nzuri Kwa ajili ya kuishi, ambayo inaweza ikawa pia nzuri Kwa kufanya biashara, Hali ya hewa iwe nzuri, kununua ardhi isiwe ghali kama dar, maji, umeme viwe uhakika.
Karibuni, bila kusahau internet iwe 4G uhakika mitandao yote
Kweli masas shida umeme lkn pako powaHumtakii mema[emoji28],bora aende hata masasi
Pakoje hapo..?Nenda kisarawe kijiji cha msimbu!
Hautajutia ndugu yangu
Kwanin umebadili, umepata wapi kwingne pazuri zaidi tuambianeMorogoro ni kati ya mikoa rafiki sana. Kuanzia hali ya hewa, maisha simple na upatikanaji wa vyakula fresh kutokea mashambani.
Niliipenda sana Morogoro na nilipanga kuishi huko uzeeni ila nilishabadili mawazo.
Japo naweza kumshauri mtu kufanya hivyo.