Wilaya gani nzuri Tanzania kwa kuishi na kufanya biashara?

Wilaya gani nzuri Tanzania kwa kuishi na kufanya biashara?

Ukiachana na Dar es Salaam, natamani kujua wilaya nzuri Kwa ajili ya kuishi, ambayo inaweza ikawa pia nzuri Kwa kufanya biashara, Hali ya hewa iwe nzuri, kununua ardhi isiwe ghali kama dar, maji, umeme viwe uhakika.

Karibuni, bila kusahau internet iwe 4G uhakika mitandao yote
Nenda Korogwe utanishukuru badae.
 
Morogoro ni kati ya mikoa rafiki sana. Kuanzia hali ya hewa, maisha simple na upatikanaji wa vyakula fresh kutokea mashambani.

Niliipenda sana Morogoro na nilipanga kuishi huko uzeeni ila nilishabadili mawazo.
Japo naweza kumshauri mtu kufanya hivyo.
 
Ukiachana na Dar es Salaam, natamani kujua wilaya nzuri Kwa ajili ya kuishi, ambayo inaweza ikawa pia nzuri Kwa kufanya biashara, Hali ya hewa iwe nzuri, kununua ardhi isiwe ghali kama dar, maji, umeme viwe uhakika.

Karibuni, bila kusahau internet iwe 4G uhakika mitandao yote
Wilaya zote za Mkoa wa Mbeya,Ruvuma, Morogoro,Pwani,Katavi,Rukwa na Lindi nk

Kiujumla Tanzania yote ni tamu
 
Morogoro ni kati ya mikoa rafiki sana. Kuanzia hali ya hewa, maisha simple na upatikanaji wa vyakula fresh kutokea mashambani.

Niliipenda sana Morogoro na nilipanga kuishi huko uzeeni ila nilishabadili mawazo.
Japo naweza kumshauri mtu kufanya hivyo.
Kwanin umebadili, umepata wapi kwingne pazuri zaidi tuambiane
 
Back
Top Bottom