Wilaya ya Rungwe Tukuyu mizengwe mitupu kweny kazi ya sensa

Wilaya ya Rungwe Tukuyu mizengwe mitupu kweny kazi ya sensa

lukme

Senior Member
Joined
Apr 18, 2012
Posts
191
Reaction score
24
polen na kazi. juzi wilaya ya Rungwe Tukuyu walibandika majina ya wasimamizi wa zoezi la sensa. baada ya siku 2 taarifa zikaja kuwa majina hayo yalikuwa batili kwa sababu waliwaweka walimu waliokuwa wamegoma eti wanahofia wataharibu kazi. je ni haki kuwatenga walimu kisa walikiwa wanadai haki yao?
 
Wanaogopa wasije wakagomea zoezi zima la sensa acha wasiokuwa na ajira wanufaike japo kidogo jaman
 
Nimegundua, kuna mtu mmoja hapa Tz ndo ile kauli ya kufikiri kwa kutumia MASABURI inamhusu, ila hatajwi kw2 kuwa yeye ndo The Biggest Potato,
 
Sasa we watu waligoma na wanaendelea kugoma kwasababu hawajakamilishiwa madai yao unategemea watafanya nini wakipeleka maelezo potofu serikalini itakuaje? hauoni kuwa watakuwa wamearibu mipango ya maendeleo ya nchi,ni vema kwasababu watawapa watu wengine shughuli ya kufanya waliokuwa mitaani tu wakati wana elimu ya utendaji pia!!
 
Back
Top Bottom