Wilaya za Same na Mwanga zimeathiriwa na ubahili

Wilaya za Same na Mwanga zimeathiriwa na ubahili

DON YRN

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2019
Posts
606
Reaction score
1,453
Wakuu, najua mpo salama na Mungu awalinde sana.

Mara nyingi huwa napita njia ya Tanga kuelekea Moshi kukatiza Wilaya za Same na Mwanga mkoani Kilimanjaro.

Kwa mfano Pale Same kinachondelea Pale ni aibu tupu hata hapastahili kuitwa Wilayani, panafaa paitwe kijiji cha Same.

Ni mji unaoweza zunguka ndani ya dakika 20 ukaumaliza wote, hii pia vile vile kwa wilaya ya Mwanga.

Ile nadharia ya kula ugali kwa picha ya Samaki imewaharibu Wapare hadi wanaweka ubahili kwenye maendeleo, Wapare acheni kabisa hizo mambo, nendeni mkaijenge Same na Mwanga msiishie kupendezesha jiji la Wazaramo...
 
Mmemalizana na wahaya mmegeukia wapare? Kwani lazima kujenga kwenu? Popote panapofaa kuweka kambi unatulia na kujenga na kula maisha! Kwani lazima ujenge ulikozaliwa? Kwani Dar sio Tanzania? Kwani mimi ndo nilimlazimisha mzazi akajenge au akaishi Same/vijijini? Eboooh! Acha mambo ya ukabila wewe mchagga! Nyie mbona kwenu ni yaleyale hatusemi? Mmesahau ulevi wa vijana wenu?
 
wapare na wagweno watamu sn asikwambie mtu...nimewagegeda mnoo
FB_IMG_1733058770366.jpg
 
Ile nadharia ya kula ugali kwa picha ya Samaki imewaharibu Wapare hadi wanaweka ubahili kwenye maendeleo, Wapare acheni kabisa hizo mambo, nendeni mkaijenge Same na Mwanga msiishie kupendezesha jiji la Wazaramo...
Mkuu taratibu tumeoa huko sema taratibu taratibu
 
Mmemalizana na wahaya mmegeukia wapare? Kwani lazima kujenga kwenu? Popote panapofaa kuweka kambi unatulia na kujenga na kula maisha! Kwani lazima ujenge ulikozaliwa? Kwani Dar sio Tanzania? Kwani mimi ndo nilimlazimisha mzazi akajenge au akaishi Same/vijijini? Eboooh! Acha mambo ya ukabila wewe mchagga! Nyie mbona kwenu ni yaleyale hatusemi? Mmesahau ulevi wa vijana wenu?
Kama ni mchaga akiongelea wapare hakuna tatizo ya ngoswe mwachie ngoswe.
 
Mmemalizana na wahaya mmegeukia wapare? Kwani lazima kujenga kwenu? Popote panapofaa kuweka kambi unatulia na kujenga na kula maisha! Kwani lazima ujenge ulikozaliwa? Kwani Dar sio Tanzania? Kwani mimi ndo nilimlazimisha mzazi akajenge au akaishi Same/vijijini? Eboooh! Acha mambo ya ukabila wewe mchagga! Nyie mbona kwenu ni yaleyale hatusemi? Mmesahau ulevi wa vijana wenu?
Hahahaha nimecheka nikacheka tena
 
vita ya watani hiii yetu macho na masikio .....wapare jiteteeni basi lasiihivyo tuite k.o ya mapema kabisa
 
Wakuu, najua mpo salama na Mungu awalinde sana.

Mara nyingi huwa napita njia ya Tanga kuelekea Moshi kukatiza Wilaya za Same na Mwanga mkoani Kilimanjaro.

Kwa mfano Pale Same kinachondelea Pale ni aibu tupu hata hapastahili kuitwa Wilayani, panafaa paitwe kijiji cha Same.

Ni mji unaoweza zunguka ndani ya dakika 20 ukaumaliza wote, hii pia vile vile kwa wilaya ya Mwanga.

Ile nadharia ya kula ugali kwa picha ya Samaki imewaharibu Wapare hadi wanaweka ubahili kwenye maendeleo, Wapare acheni kabisa hizo mambo, nendeni mkaijenge Same na Mwanga msiishie kupendezesha jiji la Wazaramo...

Toka hapa
Kwenda huko.
Nenda zako.
 
Nani kakuambia tunaishi tambarare?
Ila wilaya za mwanga na same ni kubwa kuliko rombo moshi na hai kwa pamoja ila sijui kwa nini population yake ipo chini kuliko hizo mkuu🤔
 
Ila wilaya za mwanga na same ni kubwa kuliko rombo moshi na hai kwa pamoja ila sijui kwa nini population yake ipo chini kuliko hizo mkuu🤔
Sehemu kubwa ya Same nadhani haijajengeka, huku tambarare hakujajengeka kabisa, ila milimani pako sawa mkuu.
 
Sehemu kubwa ya Same nadhani haijajengeka, huku tambarare hakujajengeka kabisa, ila milimani pako sawa mkuu.
Yeah milimani napajua mkuu ila inabidi msogee na ukanda wa chini miji ikue
 
Back
Top Bottom