ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Huyo hafai hata, atakuwa mluguru huyo!! Sema tunawapenda watani zetu🤣🤣🤣Kuna Mpare mmoja hivi namjua anasemaga yeye ni Mchagga hataki kusikia neno Mpare🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo hafai hata, atakuwa mluguru huyo!! Sema tunawapenda watani zetu🤣🤣🤣Kuna Mpare mmoja hivi namjua anasemaga yeye ni Mchagga hataki kusikia neno Mpare🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyie wachoyo sana bhana🤣🤣Huyo hafai hata, atakuwa mluguru huyo!! Sema tunawapenda watani zetu🤣🤣🤣
Pamoja na uchoyo wetu bado mnatupenda, tunapendana🤣🤣Nyie wachoyo sana bhana🤣🤣
Uchagani pia zipo koo za kipare na ni wapare halisi ila wanaongea kichaga hata kipare hawakijui mfano ukoo msuya ngowo hawa ni wapare tena wapo wengi mkuuMnaanza kujitetea sasa🤣🤣🤣
Unaelendelea na utetezi wako mtani 🤣🤣Uchagani pia zipo koo za kipare na ni wapare halisi ila wanaongea kichaga hata kipare hawakijui mfano ukoo msuya ngowo hawa ni wapare tena wapo wengi mkuu
Tambarare kuna jito kali huko milimani kama Usangi hali ya hewa n moderate na amejegwa balaakiongozi napajua vizuri huko milimani nimepanda sana ila ingependeza wenye mji wao wajitete maaana tuhuma zimekuja direct kwanini tambarare wamepaacha wamefata milima
kirundu icho chamwishoHarika.......
Mlamuwa.....ili igonji liteta vini.....??
😀😀😀😀😀😀😀
Kwa kweri avae.....ambu nasamuelewa ekienda kugaya kini......kirundu icho chamwisho
Sio kweli wilaya ya same ni ya pili kuwa na watu wengi baada ya moshi vijijiniIla wilaya za mwanga na same ni kubwa kuliko rombo moshi na hai kwa pamoja ila sijui kwa nini population yake ipo chini kuliko hizo mkuu🤔
Ugweno na Ussngi ndio mji wenyewe sasa achana na apo mwanga ukameni nani akae sehem mwaka mzima n pakame uache uko juu ukijan safiWilaya ya Mwanga pia ilifaa iwe mji, pale kuna ukame, jangwa, wanapopaita mjini hapazidi mita 200, idadi ndogo ya wakazi, stand hakuna maana kile ni kijiwe sio stand. Nilisoma Mwanga advance miaka mingi iliyopita sijui kama pameendelea saizi.
Ugweno na usangi walau pako vizuri kudogo!
Shida ni CCM wala sio wananchi.Wakuu, najua mpo salama na Mungu awalinde sana.
Mara nyingi huwa napita njia ya Tanga kuelekea Moshi kukatiza Wilaya za Same na Mwanga mkoani Kilimanjaro.
Kwa mfano Pale Same kinachondelea Pale ni aibu tupu hata hapastahili kuitwa Wilayani, panafaa paitwe kijiji cha Same.
Ni mji unaoweza zunguka ndani ya dakika 20 ukaumaliza wote, hii pia vile vile kwa wilaya ya Mwanga.
Ile nadharia ya kula ugali kwa picha ya Samaki imewaharibu Wapare hadi wanaweka ubahili kwenye maendeleo, Wapare acheni kabisa hizo mambo, nendeni mkaijenge Same na Mwanga msiishie kupendezesha jiji la Wazaramo...
AiseeWapare ni wachachu na hawana matako
Kiboriborita du shighaneni nachokirundu icho chamwisho