Mkuu taratibu tumeoa huko sema taratibu taratibuIle nadharia ya kula ugali kwa picha ya Samaki imewaharibu Wapare hadi wanaweka ubahili kwenye maendeleo, Wapare acheni kabisa hizo mambo, nendeni mkaijenge Same na Mwanga msiishie kupendezesha jiji la Wazaramo...
Kama ni mchaga akiongelea wapare hakuna tatizo ya ngoswe mwachie ngoswe.Mmemalizana na wahaya mmegeukia wapare? Kwani lazima kujenga kwenu? Popote panapofaa kuweka kambi unatulia na kujenga na kula maisha! Kwani lazima ujenge ulikozaliwa? Kwani Dar sio Tanzania? Kwani mimi ndo nilimlazimisha mzazi akajenge au akaishi Same/vijijini? Eboooh! Acha mambo ya ukabila wewe mchagga! Nyie mbona kwenu ni yaleyale hatusemi? Mmesahau ulevi wa vijana wenu?
Hahahaha nimecheka nikacheka tenaMmemalizana na wahaya mmegeukia wapare? Kwani lazima kujenga kwenu? Popote panapofaa kuweka kambi unatulia na kujenga na kula maisha! Kwani lazima ujenge ulikozaliwa? Kwani Dar sio Tanzania? Kwani mimi ndo nilimlazimisha mzazi akajenge au akaishi Same/vijijini? Eboooh! Acha mambo ya ukabila wewe mchagga! Nyie mbona kwenu ni yaleyale hatusemi? Mmesahau ulevi wa vijana wenu?
Mkuu umefika usangi na ugweno?vita ya watani hiii yetu macho na masikio .....wapare jiteteeni basi lasiihivyo tuite k.o ya mapema kabisa
Wakuu, najua mpo salama na Mungu awalinde sana.
Mara nyingi huwa napita njia ya Tanga kuelekea Moshi kukatiza Wilaya za Same na Mwanga mkoani Kilimanjaro.
Kwa mfano Pale Same kinachondelea Pale ni aibu tupu hata hapastahili kuitwa Wilayani, panafaa paitwe kijiji cha Same.
Ni mji unaoweza zunguka ndani ya dakika 20 ukaumaliza wote, hii pia vile vile kwa wilaya ya Mwanga.
Ile nadharia ya kula ugali kwa picha ya Samaki imewaharibu Wapare hadi wanaweka ubahili kwenye maendeleo, Wapare acheni kabisa hizo mambo, nendeni mkaijenge Same na Mwanga msiishie kupendezesha jiji la Wazaramo...
Ila wilaya za mwanga na same ni kubwa kuliko rombo moshi na hai kwa pamoja ila sijui kwa nini population yake ipo chini kuliko hizo mkuu🤔Nani kakuambia tunaishi tambarare?
Sehemu kubwa ya Same nadhani haijajengeka, huku tambarare hakujajengeka kabisa, ila milimani pako sawa mkuu.Ila wilaya za mwanga na same ni kubwa kuliko rombo moshi na hai kwa pamoja ila sijui kwa nini population yake ipo chini kuliko hizo mkuu🤔
Yeah milimani napajua mkuu ila inabidi msogee na ukanda wa chini miji ikueSehemu kubwa ya Same nadhani haijajengeka, huku tambarare hakujajengeka kabisa, ila milimani pako sawa mkuu.