Inaonekana mambo yanazidi kutokota ndani vya CHADEMA kadri siku zinavyozidi kwenda.
Hivi karibuni, Dk. Slaa ameonyesha kukerwa na ukimya wa CHADEMA kuhusu tuhuma za rushwa zilizotolewa na Tundu Lissu, makamu mwenyekiti wa chama hicho.
Ikumbukwe kuwa miezi chache nyuma Tundu Lissu akizungumza katika mtandao wa kijamii wa Clubhouse alinukuliwa akisema
"Kuna tatizo la rushwa ya uchaguzi, yeyote anayesema hakuna tatizo anatudanganya, kuna tatizo la rushwa ya uchaguzi na rushwa ya uchaguzi ya mtu yeyote yule ni adui wa demokrasia na ni adui wa haki, kiongozi yeyote anayepatikana kwa kununua wapiga kura huwauza siku ikifika, kwa hiyo nilichokisema Iringa ninakisimamia kama nilivyokisema, kuna tatizo la rushwa linatuvuruga CHADEMA.
Dkt Slaa amesema kuwa, Lissu, akiwa katika nafasi ya uongozi wa juu, alikuwa na nafasi ya kutumia mamlaka yake kuhakikisha kwamba tuhuma hizi zinajadiliwa kwa kina ndani ya chama na kufanyiwa kazi ili ukweli ujulikane.
Hata hivyo, Dk. Slaa ameonyesha masikitiko kwamba badala ya kuanzisha mjadala wa ndani ambao ungetafuta ukweli na kutoa majibu kwa umma, CHADEMA imechagua kukaa kimya, hali ambayo inaacha maswali mengi kwa wanachama na wafuasi wa chama hicho.
Huyu Mzee aliahidi amestaafu siasa kwa hongo ya Magufuli ya Ubalozi. Ubalozi ukaisha, Josephine akasepa, rose amemkana, CHADEMA Haina mpango naye. Sasa anawaya waya tu anatafuta namna ya kurudi kwenye square one
Kuna mtu mnafiki kama huyo Slaa..
Mtu ana kadi mbili za vyama vya siasa...
Double sword, anasifia pale tumbo lake linapohudumiwa, sasaivi anampaka yeyote urojo kwa sabab ya njaa zake..
Principles na Njaa hazikai mahali pamoja..
Wana kakikundi chao Sauti ya Watanzania wana hasira na Chadema kuliko kitu chochote..
The old man should rest no one is buying this bs, kazi na umri..
Hakuna chama ambacho wagombea wake wanatoa rushwa wakati wa uchaguzi kama ccm. Nilimshudia mgombea mmoja hesabu zake zikisoma ml 300 na uchaguzi ule wala hajashinda
Hakuna chama ambacho wagombea wake wanatoa rushwa wakati wa uchaguzi kama ccm. Nilimshudia mgombea mmoja hesabu zake zikisoma ml 300 na uchaguzi ule wala hajashinda
Huyu Mzee aliahidi amestaafu siasa kwa hongo ya Magufuli ya Ubalozi. Ubalozi ukaisha, Josephine akasepa, rose amemkana, CHADEMA Haina mpango naye. Sasa anawaya waya tu anatafuta namna ya kurudi kwenye square one
Inaonekana mambo yanazidi kutokota ndani vya CHADEMA kadri siku zinavyozidi kwenda.
Hivi karibuni, Dk. Slaa ameonyesha kukerwa na ukimya wa CHADEMA kuhusu tuhuma za rushwa zilizotolewa na Tundu Lissu, makamu mwenyekiti wa chama hicho.
Ikumbukwe kuwa miezi chache nyuma Tundu Lissu akizungumza katika mtandao wa kijamii wa Clubhouse alinukuliwa akisema
"Kuna tatizo la rushwa ya uchaguzi, yeyote anayesema hakuna tatizo anatudanganya, kuna tatizo la rushwa ya uchaguzi na rushwa ya uchaguzi ya mtu yeyote yule ni adui wa demokrasia na ni adui wa haki, kiongozi yeyote anayepatikana kwa kununua wapiga kura huwauza siku ikifika, kwa hiyo nilichokisema Iringa ninakisimamia kama nilivyokisema, kuna tatizo la rushwa linatuvuruga CHADEMA.
Dkt Slaa amesema kuwa, Lissu, akiwa katika nafasi ya uongozi wa juu, alikuwa na nafasi ya kutumia mamlaka yake kuhakikisha kwamba tuhuma hizi zinajadiliwa kwa kina ndani ya chama na kufanyiwa kazi ili ukweli ujulikane.
Hata hivyo, Dk. Slaa ameonyesha masikitiko kwamba badala ya kuanzisha mjadala wa ndani ambao ungetafuta ukweli na kutoa majibu kwa umma, CHADEMA imechagua kukaa kimya, hali ambayo inaacha maswali mengi kwa wanachama na wafuasi wa chama hicho.
Lakini ndrugo zangu humu jukwaani Jambo hili limesemwa sana kwamba Lisu anafanya mikutano yake ya kisiasa bila consultations na chama HQ na wala na mwenyekiti wake.
Na ndiyo maana jana kwenye press conference pale singida alithibitisha kwamba yote aliyoyazungumza ni maoni yake binafsi sio msimamo wa chama chake, ila angependelea hayo yote yawe msimamo wa chama na atajaribu kuwashawishi viongoz wenzake waone umuhimu wake.
Hii haina tofauti na anachokisema DK slaa. Hizo hoja za rushwa aliyoibua Lisu miezi mitatu ni hoja binafsi na hakuwahi kuziwasilisha kwenye uongozi wa chadema. Dr Slaa anataka mambo yanayozungumzwa huko pembeni pembeni na viongoz wenye heshima ndiyo yawe msimamo wa chama?
Style ya siasa za Tundu Lisu na Gachagua ni sawa tu. Mambo muhimu yanazungumzwa huko mitaani, wakikutana na viongoz wengine wanakaa kimya. Huruma ya wanainchi hausaidii chochote
Mambo muhimu yafanyike ndani ya chama kwa umoja π
Kuna mtu mnafiki kama huyo Slaa..
Mtu ana kadi mbili za vyama vya siasa...
Double sword, anasifia pale tumbo lake linapohudumiwa, sasaivi anampaka yeyote urojo kwa sabab ya njaa zake..
Principles na Njaa hazikai mahali pamoja..
Wana kakikundi chao Sauti ya Watanzania wana hasira na Chadema kuliko kitu chochote..
The old man should rest no one is buying this bs, kazi na umri..
Huyu Mzee aliahidi amestaafu siasa kwa hongo ya Magufuli ya Ubalozi. Ubalozi ukaisha, Josephine akasepa, rose amemkana, CHADEMA Haina mpango naye. Sasa anawaya waya tu anatafuta namna ya kurudi kwenye square one
Huyu mzee alipewa Rushwa na Magufuli ili aisaliti CHADEMA hivo hana moral authority au sifa ya kujadili kitu hicho anyamaze kimya tu hakuna mwenye haja naye.
Inaonekana mambo yanazidi kutokota ndani vya CHADEMA kadri siku zinavyozidi kwenda.
Hivi karibuni, Dk. Slaa ameonyesha kukerwa na ukimya wa CHADEMA kuhusu tuhuma za rushwa zilizotolewa na Tundu Lissu, makamu mwenyekiti wa chama hicho.
Ikumbukwe kuwa miezi chache nyuma Tundu Lissu akizungumza katika mtandao wa kijamii wa Clubhouse alinukuliwa akisema
"Kuna tatizo la rushwa ya uchaguzi, yeyote anayesema hakuna tatizo anatudanganya, kuna tatizo la rushwa ya uchaguzi na rushwa ya uchaguzi ya mtu yeyote yule ni adui wa demokrasia na ni adui wa haki, kiongozi yeyote anayepatikana kwa kununua wapiga kura huwauza siku ikifika, kwa hiyo nilichokisema Iringa ninakisimamia kama nilivyokisema, kuna tatizo la rushwa linatuvuruga CHADEMA.
Dkt Slaa amesema kuwa, Lissu, akiwa katika nafasi ya uongozi wa juu, alikuwa na nafasi ya kutumia mamlaka yake kuhakikisha kwamba tuhuma hizi zinajadiliwa kwa kina ndani ya chama na kufanyiwa kazi ili ukweli ujulikane.
Hata hivyo, Dk. Slaa ameonyesha masikitiko kwamba badala ya kuanzisha mjadala wa ndani ambao ungetafuta ukweli na kutoa majibu kwa umma, CHADEMA imechagua kukaa kimya, hali ambayo inaacha maswali mengi kwa wanachama na wafuasi wa chama hicho.
Rushwa yenye madhara ipo ccm, aanzie huko, chadema haina Dora, hwkuna haja yakuishambulia! Huyu kenge anatumika tu, tutaona mengi sana, Chadema sio maraika, lakini huwezi kusema rushwa ndani ya chadema ina madhara kwa nchi kuliko rushwa ndani ya ccm na serikali
Lakini ndrugo zangu humu jukwaani Jambo hili limesemwa sana kwamba Lisu anafanya mikutano yake ya kisiasa bila consultations na chama HQ na wala na mwenyekiti wake.
Na ndiyo maana jana kwenye press conference pale singida alithibitisha kwamba yote aliyoyazungumza ni maoni yake binafsi sio msimamo wa chama chake, ila angependelea hayo yote yawe msimamo wa chama na atajaribu kuwashawishi viongoz wenzake waone umuhimu wake.
Hii haina tofauti na anachokisema DK slaa. Hizo hoja za rushwa aliyoibua Lisu miezi mitatu ni hoja binafsi na hakuwahi kuziwasilisha kwenye uongozi wa chadema. Dr Slaa anataka mambo yanayozungumzwa huko pembeni pembeni na viongoz wenye heshima ndiyo yawe msimamo wa chama?
Style ya siasa za Tundu Lisu na Gachagua ni sawa tu. Mambo muhimu yanazungumzwa huko mitaani, wakikutana na viongoz wengine wanakaa kimya. Huruma ya wanainchi hausaidii chochote
Mambo muhimu yafanyike ndani ya chama kwa umoja π
Slaa yuko CCM na huko CCM rushwa ndio chakula chao hata maji hawaachani mezani, angeanza huko kwao, kuliko kujifanya kukomalia huku, kama CHADEMA imepoteza uelekeo sio furaha kwa CCM? mbona kama wanahaha, kuanzia lini Mwana CCM atake CHADEMA warekebishe mambo yao ili wazidi kuimarika!!