Wilbroad Slaa: Sina chama tangu nilipojiuzulu Ukatibu Mkuu wa CHADEMA

Wilbroad Slaa: Sina chama tangu nilipojiuzulu Ukatibu Mkuu wa CHADEMA

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
“Mimi sina chama chochote, naomba niiweke hii sawa tangu Septemba 1, 2015 nilipojiuzulu ukatibu mkuu wa Chadema, lakini niliweka wazi kuwa katika masuala ya kitaifa, nitatoa kauli yangu, nitafanya hivyo bila uwonga wowote,”

Balozi Dkt. Wilbroad Slaa, amesema hayo katika Kongamano la kusherehekea urithi wa Falsafa ya hayati DKT. John Magufuli, leo Machi 25, 2022

Kongamano hilo linafanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Mwanza pia linalenga kufanya tafakuri ya miaka sita ya utekelezaji wa falsafa aliyoitumia hayati Magufuli wakati akiomba ridhaa ya kuiongoza nchi 2015.
 
“Mimi sina chama chochote, naomba niiweke hii sawa tangu Septemba 1, 2015 nilipojiuzulu ukatibu mkuu wa Chadema, lakini niliweka wazi kuwa katika masuala ya kitaifa, nitatoa kauli yangu, nitafanya hivyo bila uwonga wowote,” Balozi Dk Wilbroad Slaa, amesema hayo katika Kongamano la kusherehekea urithi wa Falsafa ya hayati DKT. John Magufuli, leo Machi 25, 2022

Kongamano hilo linafanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Mwanza pia linalenga kufanya tafakuri ya miaka sita ya utekelezaji wa falsafa aliyoitumia hayati Magufuli wakati akiomba ridhaa ya kuiongoza nchi 2015.
Kwani nani kamuuliza?
 
“Mimi sina chama chochote, naomba niiweke hii sawa tangu Septemba 1, 2015 nilipojiuzulu ukatibu mkuu wa Chadema, lakini niliweka wazi kuwa katika masuala ya kitaifa, nitatoa kauli yangu, nitafanya hivyo bila uwonga wowote,”

Balozi Dk Wilbroad Slaa, amesema hayo katika Kongamano la kusherehekea urithi wa Falsafa ya hayati DKT. John Magufuli, leo Machi 25, 2022

Kongamano hilo linafanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Mwanza pia linalenga kufanya tafakuri ya miaka sita ya utekelezaji wa falsafa aliyoitumia hayati Magufuli wakati akiomba ridhaa ya kuiongoza nchi 2015.
Hii Nchi hii huwa siwaelewi, hivi huu urithi yeye Hayati Mkapa hakuwa nao??? Hivi hii kumkumbuka Magufuli kila mwaka inafanyika kwa Mkapa? Mwinyi na JK wakiondoka nao wataenziwa kila mwaka!!??
 
Hii Nchi hii huwa siwaelewi, hivi huu urithi yeye Hayati Mkapa hakuwa nao??? Hivi hii kumkumbuka Magufuli kila mwaka inafanyika kwa Mkapa? Mwinyi na JK wakiondoka nao wataenziwa kila mwaka!!??
Mwinyi na JK wataenziwa na familia zao....wasilamu hawana utamaduni huu wa kukuza mambo ya kifamilia kuyafanya ni ya kitaifa....tunaona huko Zanzibar ukimtoa mwasisi Abeid Karume, wengine kama Jumbe na Abdul Wakil wanaenziwa kimya kimya na familia zao....
 
Back
Top Bottom