Abtali mwerevu JF-Expert Member Joined May 5, 2013 Posts 665 Reaction score 515 Oct 7, 2017 #2 Mambo yote hayana ajira siku hizi... ukiamua kusoma we jilipue tu.
Kiufagio Senior Member Joined Aug 19, 2017 Posts 133 Reaction score 135 Oct 7, 2017 Thread starter #3 Abtali mwerevu said: Mambo yote hayana ajira siku hizi... ukiamua kusoma we jilipue tu. Click to expand... Ahsante mkuu.
Abtali mwerevu said: Mambo yote hayana ajira siku hizi... ukiamua kusoma we jilipue tu. Click to expand... Ahsante mkuu.
Kaizer Platinum Member Joined Sep 16, 2008 Posts 25,324 Reaction score 17,846 Oct 7, 2017 #4 wakudekaa said: Wakuu mwenye ufahamu juu ya corse ya wildlife management in detail, hasa upande wa ajira naomben msaada. Click to expand... Unaweza kajiriwa sekta ya maliasili kuanzia Tanapa, TAWA, au Ngorongoro CAA, hivyo muhimu ujue kuwa ajira inategemea mambo mengi souwe mvumilivu. Pia unaweza kuajiriwa mashirika ya kitaifa na kimataifa ya uhifadhi na mazingira
wakudekaa said: Wakuu mwenye ufahamu juu ya corse ya wildlife management in detail, hasa upande wa ajira naomben msaada. Click to expand... Unaweza kajiriwa sekta ya maliasili kuanzia Tanapa, TAWA, au Ngorongoro CAA, hivyo muhimu ujue kuwa ajira inategemea mambo mengi souwe mvumilivu. Pia unaweza kuajiriwa mashirika ya kitaifa na kimataifa ya uhifadhi na mazingira
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,855 Reaction score 189,385 Oct 7, 2017 #5 Kusoma kuongeza wigo na mazingira ya fursa si kupata ajira