Wilfred Lwakatare, Mbunge Bukoba Mjini asema “Sisi tumekuja Bungeni si chini ya mara moja, kwa tume hii tuliyo nayo. Tuulizeni tulishindaje

Wilfred Lwakatare, Mbunge Bukoba Mjini asema “Sisi tumekuja Bungeni si chini ya mara moja, kwa tume hii tuliyo nayo. Tuulizeni tulishindaje

Joined
Oct 7, 2019
Posts
51
Reaction score
157
“Sisi tumekuja bungeni si chini ya mara moja, kwa TUME hii tuliyo nayo. Tuulizeni TULISHINDAJE, tuulizeni tulitumia MBINU zipi?. Ili anayekuja kugombea ajue MBINU na kuacha KULIA kwamba tume hii SIO huru,"

Pia soma > Wilfred Lwakatare arejea CUF baada ya kufutwa uanachama CHADEMA. Kutumika kuiangamiza CHADEMA

#Note Nilichogundua ni kwamba, wanasiasa wa Chadema wakistaafu siasa au kuhama Chadema huwa ndipo upande wa ubongo unaoshughulika na 'BUSARA na UKWELI' unapoanza kufanya kazi yake vizuri.

Huenda ndiyo maana hata wale wabunge wa Viti maalumu wa Chadema walipohama walijikuta wanatapika ukweli wote hata uliofanyika gizani, sasa hivi tunamsikia Peter Lijualikali akieleza jinsi michango ya wabunge na ruzuku ya chama inavyotafunwa.

Karibu tuzunguke moto maana simulizi ndiyo kwanza zinaanza
 
Upinzani wa kweli utatoka chadema humo humo. Hawa wameshajifunza mengi wakiwa huko. Kesho na keshokutwa wakianzisha vyama vyao hawatarudia makosa ya mbowe.

Hata zitto kuna mambo mengi ya kijinga amerekebisha kwenye chama chake baada ya kuona ujinga wa mbowe.
 
“Sisi tumekuja bungeni si chini ya mara moja, kwa TUME hii tuliyo nayo. Tuulizeni TULISHINDAJE, tuulizeni tulitumia MBINU zipi?. Ili anayekuja kugombea ajue MBINU na kuacha KULIA kwamba tume hii SIO huru,"
#Note Nilichogundua ni kwamba, wanasiasa wa Chadema wakistaafu siasa au kuhama Chadema huwa ndipo upande wa ubongo unaoshughulika na 'BUSARA na UKWELI' unapoanza kufanya kazi yake vizuri.
Huenda ndiyo maana hata wale wabunge wa Viti maalumu wa Chadema walipohama walijikuta wanatapika ukweli wote hata uliofanyika gizani, sasa hivi tunamsikia Peter Lijualikali akieleza jinsi michango ya wabunge na ruzuku ya chama inavyotafunwa.
Karibu tuzunguke moto maana simulizi ndiyo kwanza zinaanza
aache ujinga, alikuja kwa nguvu ya wananchi/wapiga kura na si vinginevyo. Tunamjua sana labda asivyojielewa! Nguvu ya CDM ilimleta bungeni. Let us waait and see kama atapita kwa CUF, LABDA APEWE NA JWE KAMA ALIVYOFANYA SERIKALI ZA MITAA
 
Hoja nzuri
P
Wanasiasa njaa kesho kutwa akitendwa ccm atasema tume si huru Tena wanacheza na ujinga wetu nyerere aliwatabiri Kila chama kina mikakati ya ushindi hata ccm wana mikakati kama Leo ana saliti mikakati iliyo mpa ushindi chadema ina maana hafai ipo siku hatasema yote aliyo yaona cuf sehemu nyingine kiufupi jamaa ni snitch ,siasa ni ajira kama ajira nyingine hakuna Cha niwatumikie wananchi, tumepoteza dira kwenye siasa tumechagua vichwa maji na watu wasio na msimamo watuongoze
 
Leo hii tayari ameshasahau alipewaga kesi ya ugaidi na wakina Mwigulu akakaa ndani mpk kidogo akate moto?
 
“Sisi tumekuja bungeni si chini ya mara moja, kwa TUME hii tuliyo nayo. Tuulizeni TULISHINDAJE, tuulizeni tulitumia MBINU zipi?. Ili anayekuja kugombea ajue MBINU na kuacha KULIA kwamba tume hii SIO huru,"
#Note Nilichogundua ni kwamba, wanasiasa wa Chadema wakistaafu siasa au kuhama Chadema huwa ndipo upande wa ubongo unaoshughulika na 'BUSARA na UKWELI' unapoanza kufanya kazi yake vizuri.
Huenda ndiyo maana hata wale wabunge wa Viti maalumu wa Chadema walipohama walijikuta wanatapika ukweli wote hata uliofanyika gizani, sasa hivi tunamsikia Peter Lijualikali akieleza jinsi michango ya wabunge na ruzuku ya chama inavyotafunwa.
Karibu tuzunguke moto maana simulizi ndiyo kwanza zinaanza
Hawa ndio wanandaliwa n TISS kuanzisha hoja ya magu awe rais Wa mileke
 
“Sisi tumekuja bungeni si chini ya mara moja, kwa TUME hii tuliyo nayo. Tuulizeni TULISHINDAJE, tuulizeni tulitumia MBINU zipi?. Ili anayekuja kugombea ajue MBINU na kuacha KULIA kwamba tume hii SIO huru,"
#Note Nilichogundua ni kwamba, wanasiasa wa Chadema wakistaafu siasa au kuhama Chadema huwa ndipo upande wa ubongo unaoshughulika na 'BUSARA na UKWELI' unapoanza kufanya kazi yake vizuri.
Huenda ndiyo maana hata wale wabunge wa Viti maalumu wa Chadema walipohama walijikuta wanatapika ukweli wote hata uliofanyika gizani, sasa hivi tunamsikia Peter Lijualikali akieleza jinsi michango ya wabunge na ruzuku ya chama inavyotafunwa.
Karibu tuzunguke moto maana simulizi ndiyo kwanza zinaanza

Hayo anayoyaongea ni sehemu ya package ya malipo ya kununuliwa. Hakuna namna ataongea ukweli ambao ni kikwazo kwa waliomnunua. Uzuri ni kuwa alishaongea sana kuwa tume ya uchaguzi sio huru, na hata kama asingeongea, sisi wenyewe tunajionea udhaifu wa hiyo tume. Yeye kanunuliwa kama sehemu ya kupindisha ukweli, ili kufunika hujuma iliyopangwa kufanyika kwenye huu uchaguzi mkuu. Ukishaona mtu anahama chama na kutoa tuhuma wakati anatoka, kisha akarudi na kuanza kutoa tuhuma za kule alikotoka, tena tuhuma zenyewe zikipingana na aliyokuwa akihubiri huko nyuma, jua huyo ni mwanasiasa tumbo.
 
Mh Rwakatale mbona unalazimisha kujivunjia heshima kidogo uliyobaki nayo ktk jamii

Mbele ya hela hajali hata hiyo heshima. Anajua fika yeye na familia yake wataishi kwa hela bila kujali kaipata vipi. Mambo ya heshima atapata kwa wanaccm maslahi.
 
Ni taahira na mwendawazimu pekee asiyejua na kuona mwendo wa siasa nw.
Hayo anayoyaongea ni sehemu ya package ya malipo ya kununuliwa. Hakuna namna ataongea ukweli ambao ni kikwazo kwa waliomnunua. Uzuri ni kuwa alishaongea sana kuwa tume ya uchaguzi sio huru, na hata kama asingeongea, sisi wenyewe tunajionea udhaifu wa hiyo tume. Yeye kanunuliwa kama sehemu ya kupindisha ukweli, ili kufunika hujuma iliyopangwa kufanyika kwenye huu uchaguzi mkuu. Ukishaona mtu anahama chama na kutoa tuhuma wakati anatoka, kisha akarudi na kuanza kutoa tuhuma za kule alikotoka, tena tuhuma zenyewe zikipingana na aliyokuwa akihubiri huko nyuma, jua huyo ni mwanasiasa tumbo.
 
“Sisi tumekuja bungeni si chini ya mara moja, kwa TUME hii tuliyo nayo. Tuulizeni TULISHINDAJE, tuulizeni tulitumia MBINU zipi?. Ili anayekuja kugombea ajue MBINU na kuacha KULIA kwamba tume hii SIO huru,"

Pia soma > Wilfred Lwakatare arejea CUF baada ya kufutwa uanachama CHADEMA. Kutumika kuiangamiza CHADEMA

#Note Nilichogundua ni kwamba, wanasiasa wa Chadema wakistaafu siasa au kuhama Chadema huwa ndipo upande wa ubongo unaoshughulika na 'BUSARA na UKWELI' unapoanza kufanya kazi yake vizuri.

Huenda ndiyo maana hata wale wabunge wa Viti maalumu wa Chadema walipohama walijikuta wanatapika ukweli wote hata uliofanyika gizani, sasa hivi tunamsikia Peter Lijualikali akieleza jinsi michango ya wabunge na ruzuku ya chama inavyotafunwa.

Karibu tuzunguke moto maana simulizi ndiyo kwanza zinaanza
CDM NI CHAMA MAKINI SANA
 
We tulia sisi ambao tumefahidi hii nchi tuko kimya , nyie endeleeni kukaa kwenye Jua mkiwasikiliza wabunge na madiwani.
Ufaidi nchi kwa kupewa posho wa wizi wa michango ya wabunge na ruzuku. Ndio maana upo tayari kumpa mke boss wako.
 
Back
Top Bottom