Wilfred Lwakatare, Mbunge Bukoba Mjini asema “Sisi tumekuja Bungeni si chini ya mara moja, kwa tume hii tuliyo nayo. Tuulizeni tulishindaje

Wabunge wote wa Upinzani hasa Chadema walishinda Ubunge kutokana na nguvu ya Umma la sivyo kusingekuwa na Mbunge hata mmoja,kuanzia Arusha, Ubungo,Temeke,Kawe na huko Bukoba.
 
Wabunge wote wa Upinzani hasa Chadema walishinda Ubunge kutokana na nguvu ya Umma la sivyo kusingekuwa na Mbunge hata mmoja,kuanzia Arusha, Ubungo,Temeke,Kawe na huko Bukoba.
Rwakatare yeye anajua alishinda kwa medani zake wonders will never cease.
 
Hawana lolote, hapo vichwa havifanyi kazi tena wanawaza kwa kutumia matumbo yao
 
Kipindi yupo chadema ulitaka aongee yaliyo kinyume na msimamo wa chama? Ulitaka aongee kinyume na mnayotaka kuyasikia?
Kamwe asingeweza kufanya hivyo na hao ndio wanasiasa, ni sawa na 2015 wengi tu walikula matapishi yao hawakuweza kwenda kinyume na msimamo wa chama. Muhimu ni kuelewa hao wanaotoka kwenye vyama na kuongea huongea Yale ambayo mwanzo hawakuweza kuongea wakati wakiwa kwenye hivyo vyama iwe upinzani au chama tawala.
 

Alipokuwa CUF kabla ya kwenda cdm alikuwa anasema hiyo tume ni huru?
 
Wabunge wote wa Upinzani hasa Chadema walishinda Ubunge kutokana na nguvu ya Umma la sivyo kusingekuwa na Mbunge hata mmoja,kuanzia Arusha, Ubungo,Temeke,Kawe na huko Bukoba.
Sasa viliyo vya tume huru vinakujaje ikiwa tuna nguvu hiyo ya Umma?
 
Alipokuwa CUF kabla ya kwenda cdm alikuwa anasema hiyo tume ni huru?
Nishakwambia kuwa hao ndio wanasiasa, tatizo ni kwamba tunajifanya tunawaamini hawa wanasiasa pale wanapokuwa upinzani na wanaeleza tunayotaka kuyasikia ila wakitoka upinzani na kuanza kuongea tusiyotaka kuyasikia ndio tunaanza kuwaona wanafki kumbe kama ni unafki hao jamaa ni wanafki tu toka zamani.
 

Kwani Lwakatare katoka upinzani?
 
Mtu Kama huyo Hana ndoto za kukamata dola so hata presence ya chama chake ni void.
 
Sawa kabisa
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
We tulia sisi ambao tumefahidi hii nchi tuko kimya , nyie endeleeni kukaa kwenye Jua mkiwasikiliza wabunge na madiwani.
Kufahidi ndiyo nini? Hivi shuleni mlienda kusoma ukilaza
 
Walishinda kwa nguvu ya Umma!... nakumbuka Mkapa alimpiga kibao Wenje,,those days
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…