Wilfred Zaha nusura dhambi ile imhukumu !

Wilfred Zaha nusura dhambi ile imhukumu !

Karika Race ambazo ni za Hovyo na za kilalamishi ya kwanza ni
1. Afrika
2. Waarabu.

Hawa watu walalamishi sana tena wabaguzi sana.
Ni mijitu ya ajabu.kila kitu inahusisha na race yao.magoli mengi tu ya wazungu yalishawahi kukataliwa hawakusema ni sababu wao wazungu. MIAFRIKA NI MILALAMISHI YA KIPUMBAVU.

Niliongea wiki jana juu ya kukataliwa kwa goli la Genk wengi wakapinga.

Niliongea wenzetu hawa (hasa kwenye michezo) kwa haraka mara nyingi hawapendi kutupa credit sie Blacks; hawataki kabisa kukubali kwa urahisi

Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi mbaya sana, ni sawa na kula nyama ya mtu. Nina hakika vituko vingi vya style hii tutaendelea kuvishuhudia japo Waafrika wengi hawaamini hili.
 
Back
Top Bottom