mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mbona sisiki watu wakitangaza Nia kugombea huko chato????au mbunge anaendeleaaaDr.Bashiru anakata jina lako chaap na kupitisha la Pauline Gekul wake.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sisiki watu wakitangaza Nia kugombea huko chato????au mbunge anaendeleaaaDr.Bashiru anakata jina lako chaap na kupitisha la Pauline Gekul wake.
Maendeleo na mabadiliko ya Babati yataletwa na kijana wa Babati ambaye anajua ni nini wanababati wamekosa kwa muda mrefu. Pamoja na kuwa anafanya kazi Babati mjini pia ni kijana mzalendo na anayeshirikiana na wananchi katika maisha ya kila siku. Mtu kama huyo ndio anayehitajika na anayetafutwa na wananchi wa babati mjini.
View attachment 1497699
Ndio ujue hata mambo yake ni ya kupindapinda hivyoHalafu aliyekuandalia hili tangazo bomu kweli. Yaani inabidi kupindisha shingo au kurotate simu ndiyo mtu asome hayo maneno ya mlalo. Rekebisha bana. Andaa bandiko zuri linalosomeka kirahisi
Ukiangalia hili tangazo lake utajua ni mzaliwa wa wapi.hata hivyo wewe bado ni mratibu elimu kata,tumikia wananchi kwa nafasi uliyonayo acha tamaaaMaendeleo na mabadiliko ya Babati yataletwa na kijana wa Babati ambaye anajua ni nini wanababati wamekosa kwa muda mrefu. Pamoja na kuwa anafanya kazi Babati mjini pia ni kijana mzalendo na anayeshirikiana na wananchi katika maisha ya kila siku. Mtu kama huyo ndio anayehitajika na anayetafutwa na wananchi wa babati mjini.
View attachment 1497699
babati=BabatiMaendeleo na mabadiliko ya Babati yataletwa na kijana wa Babati ambaye anajua ni nini wanababati wamekosa kwa muda mrefu. Pamoja na kuwa anafanya kazi Babati mjini pia ni kijana mzalendo na anayeshirikiana na wananchi katika maisha ya kila siku. Mtu kama huyo ndio anayehitajika na anayetafutwa na wananchi wa babati mjini.
View attachment 1497699
Hawana time naye tenaCCM ni kama mashetani! PAULINE mmeshamchoka sio?
Pauline Gekul Muungaji wa juhudi mmemchoka au ndio wale wasio na mikia?
Tunahitaji watu wenye rekodi nzuri za kiutendaji sio tu kuwa mwanasiasa mzuri tunahitaji watendaji zaidi, nchi yetu imeingia kwenye uchumi wa kati tuache kuishi na kufanya siasa kwa mazoea. Unawezaje kutuletea post ya kumpromote mtu bila kutupa record zake na tabia zake tangu akiwa shuleni mpaka hapo alipo sasa.
Babat mjini na vijijini tumekuwa na wabunge wengi waliopita , lakini wameshindwa kutatua kero za wananchi, mathaliani migogoro ya ardhi kati ya wawekezaji na wanachi. Kuna mashamba yana lease za miaka mingi, na mengine yamekuwa mapori, wananchi wanaongezeka ardhi haiongezeki wananchi hawana ardhi ya kutosha kwa ajili ya kilimo na malisho ya mifugo badala yake wananchi wamegeuzwa kuwa vibarua wa kupalilia miwa na mahindi ya wawekezaji kwa ujira mdogo huku hata wale wanaojitahidi kulima ardhi ndogo iliopo wakikosa maji ya kutosha sababu kiasi kikubwa hutumika kwenye irrigation scheme za wawekezaji.
Ni vyema ungetueleza huyu mgombea amejipangaje kuzitatua kero kama hizi.
Mkuu umefukua kaburi
Jamaa ajipangeMkuu umefukua kaburi