Katashekadm
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 728
- 775
Aseme nini wakati Mbowe alimuuzia Lowasa Chama!Nikasirike Slaa kuwa chadema? hujaelewa kinachozungumzwa,Slaa aliondoka chadema Kwa mbwembwe na Press conference,Leo anarudi kimya kimya Kwa mgongo wa maslahi ya TAIFA,wakati yupo na mwendazake huku chadema wakiozea jela na wengine kukimbia Nchi why alikuwa hasemi chochote?
Nashukuru Kwa jibu lako,nimekuelewa...Aseme nini wakati Mbowe alimuuzia Lowasa Chama!
Hii chadema hujajua imefikaje hapa, kuna jasho la Dr Slaa
Naona ni wewe peke yako unayejua kwamba Wilboard Slaa alikuwa balozi wa Tanzania huko Canada.
Kwa kutuepusha na chanjo ya papa ni shujaa ππMkuu so Jiwe ni shujaa wako kuliko wewe? Ina maana ana akili kuliko wewe
sina hakika ila maandamano ya mwanza dr alijiunga na cdmWewe ni mwongo au una tatizo la kumbukumbu.
Dr. Slaa hakuwahi kutamka kywa hatajihusisha na siasa. Hakueahi kulisrma hilo hata mara moja.
Alisrma kuwa hatajihusisha na siasa za vyama vya siasa. Atafanya siasa zentr maslahi kwa Taifa tu. Na mpaka sasa Dr. Slaa hajatamka wala kutangaza kuwa amejiunga na chama chochote cha siasa.
Suala la bandari kuporwa na DP World, inadhihirisha kauli yake, maana lile halikuwa suala la chama cha siasa bali ni maslahi ya nchi. Bandari ni rasilimali ya Taifa ambayo wasiolipenda Taifa letu wanataka kuipora kutokana na maslahi yao binafsi.
CCM imekuwa ikiisakama Chadema kwa kutumia kila aina ya lugha hasa za dharau na kejeli huku CCM hiyo hiyo ikitafuta viongozi kutoka Chadema! Duniani hakuna adui wa kudumu.Friends and Our Enemies,
Sote tuna Kumbuka namna ambavyo Padre wilbroad slaa alivyokihama chama Hiko Cha chadema Kwa mbwembwe na mikogo na kusema kwamba Hawezi kukaa meza Moja na Fisadi Papa ambae by that time alikuwa anamaamisha ni marehem Lowasa.
Slaa aliweka wazi wazi kwamba hakushiriki dhambi hiyo la kumkaribisha mwizi na mla rushwa kwenye chama Cha chadema na kwamba yeye hawezi kula matapishi Yale aliyotapika kipjndi kile pale mwembe yanga kuwa katika ile list of shame,Lowasa alikuwa ndie kinara wao.
Padre Slaa,akawakimbia chadema na kusema kwamba hatajihusisha na shughuli za siasa Kwa chama chochote.
Katika Hali ya kushangaza Wilbroad slaa akaonekana kuwa partner mkubwa na RAFIKI wa mwendazake kiasi Cha kufikia hatua ya kupewa ubalozi wa Canada.
Wilbroad Slaa aliuchukua ubalozi na kuwahakikishia chadema na wapinzani kuwa hatogeuka nyuma na hata pale ambapo viongozi wa Chadema walipokamatwa na serikali ya mwendazake na kufungwa alisema kuwa kwenye suala la ugaidi viongozi wao wanahusika pia.
Soo baada ya mwendazake kwendazake na Mh Samia Suluhu kushika Dola,kazi hiyo ya ubalozi baada ya kustaafu wilbroad slaa hakupewa nafasi kwenye Regime ya Samia Hali iliyopelekea yeye kuwa ni mfa Njaa na mwenye kutapa tapa asijue wapi Kwa kushika,wapinzani alishawasaliti na CCM hawakuwahi kumkubali.
Lilipokuja Sakata la DP World Wilbroad Slaa akaibuka mafichoni kuanza kuimba ngonjera ile Kwa kutumia platform ya wanaharakati i.e Mwabukusi na Mdude,Hali ambayo ilimfanya taratibu taratibu aaanze kujipenyeza na kurudi machoni mwa WATANZIA ambao alishawaambia kuwa yeye na siasa bye bye.
Cha kushangaza,hivi Sasa Wilbroad Slaa amejiingiza kwenye harakati za siasa za chadema na kuonekana kila kwenye maandamano ya chadema huku akiimba slogans za people's power na katiba mpya.
Ni ukweli uso na shaka kuwa Wilbroad Slaa na Chadema ndoa Yao imerejea,lakini swali ni kwamba lini wameliweka wazi suala la kuunganisha nguvu wawili wao?na sababu za msingi ni zipi??
Wilbroad Slaa anaonesha wazi wazi ni mstaafu aliekula fedha zake za mafao hadi pensheni kiasi Cha kufikia kutanga Tanga na kukosa uhakika wa maisha.
CHADEMA na Wilbroad Slaa mnadhani watanzania ni wajinga wa kuwaonesha dharau za kiwango Hiko??
Mbona babu Makamba ni mdini wa waziwazi hatujakuona ukilalamika? acha atumie uhuru wake. shame on youSlaa sio mwanasiasa Slaa ni mdini na huo ndiyo unamsumbua hakuna cha maslahi ya nchi wala nini kwa sababu hata yeye kwa umri wake akiteuliwa kuwa balozi haikuwa ni maslahi ya nchi bali alitanguliza maslahi binafsi vinginevyo angekataa uteuzi,sasa mwache aanguke barabarani kwa uzee ndiyo atajua.
Hakuna chuki mbaya kama ya udini.
CCM ni kusanyiko la matapeli tupuCCM imekuwa ikiisakama Chadema kwa kutumia kila aina ya lugha hasa za dharau na kejeli huku CCM hiyo hiyo ikitafuta viongozi kutoka Chadema! Duniani hakuna adui wa kudumu.
Imewapumbaza wasiojitambua na kuwa mazezeta huku viongozi wake wakijitajirisha.CCM ni kusanyiko la matapeli tupu
Unafikiri Slaa angekuwa mtu asiyependa mabadiliko na mwenye ubinafsi kama unavyoeleza angehangaikia nini mitaani huko wakati yeye tayari alishakuwa balozi? Si angelala tu ale pension yake?Friends and Our Enemies,
Sote tuna Kumbuka namna ambavyo Padre wilbroad slaa alivyokihama chama Hiko Cha chadema Kwa mbwembwe na mikogo na kusema kwamba Hawezi kukaa meza Moja na Fisadi Papa ambae by that time alikuwa anamaamisha ni marehem Lowasa.
Slaa aliweka wazi wazi kwamba hakushiriki dhambi hiyo la kumkaribisha mwizi na mla rushwa kwenye chama Cha chadema na kwamba yeye hawezi kula matapishi Yale aliyotapika kipjndi kile pale mwembe yanga kuwa katika ile list of shame,Lowasa alikuwa ndie kinara wao.
Padre Slaa,akawakimbia chadema na kusema kwamba hatajihusisha na shughuli za siasa Kwa chama chochote.
Katika Hali ya kushangaza Wilbroad slaa akaonekana kuwa partner mkubwa na RAFIKI wa mwendazake kiasi Cha kufikia hatua ya kupewa ubalozi wa Canada.
Wilbroad Slaa aliuchukua ubalozi na kuwahakikishia chadema na wapinzani kuwa hatogeuka nyuma na hata pale ambapo viongozi wa Chadema walipokamatwa na serikali ya mwendazake na kufungwa alisema kuwa kwenye suala la ugaidi viongozi wao wanahusika pia.
Soo baada ya mwendazake kwendazake na Mh Samia Suluhu kushika Dola,kazi hiyo ya ubalozi baada ya kustaafu wilbroad slaa hakupewa nafasi kwenye Regime ya Samia Hali iliyopelekea yeye kuwa ni mfa Njaa na mwenye kutapa tapa asijue wapi Kwa kushika,wapinzani alishawasaliti na CCM hawakuwahi kumkubali.
Lilipokuja Sakata la DP World Wilbroad Slaa akaibuka mafichoni kuanza kuimba ngonjera ile Kwa kutumia platform ya wanaharakati i.e Mwabukusi na Mdude,Hali ambayo ilimfanya taratibu taratibu aaanze kujipenyeza na kurudi machoni mwa WATANZIA ambao alishawaambia kuwa yeye na siasa bye bye.
Cha kushangaza,hivi Sasa Wilbroad Slaa amejiingiza kwenye harakati za siasa za chadema na kuonekana kila kwenye maandamano ya chadema huku akiimba slogans za people's power na katiba mpya.
Ni ukweli uso na shaka kuwa Wilbroad Slaa na Chadema ndoa Yao imerejea,lakini swali ni kwamba lini wameliweka wazi suala la kuunganisha nguvu wawili wao?na sababu za msingi ni zipi??
Wilbroad Slaa anaonesha wazi wazi ni mstaafu aliekula fedha zake za mafao hadi pensheni kiasi Cha kufikia kutanga Tanga na kukosa uhakika wa maisha.
CHADEMA na Wilbroad Slaa mnadhani watanzania ni wajinga wa kuwaonesha dharau za kiwango Hiko??
Usitujumuishe Watanzania na mambo ya kijinga, watajuana wenyewe huko maana hawawezi kushika Dola.Friends and Our Enemies,
Sote tuna Kumbuka namna ambavyo Padre wilbroad slaa alivyokihama chama Hiko Cha chadema Kwa mbwembwe na mikogo na kusema kwamba Hawezi kukaa meza Moja na Fisadi Papa ambae by that time alikuwa anamaamisha ni marehem Lowasa.
Slaa aliweka wazi wazi kwamba hakushiriki dhambi hiyo la kumkaribisha mwizi na mla rushwa kwenye chama Cha chadema na kwamba yeye hawezi kula matapishi Yale aliyotapika kipjndi kile pale mwembe yanga kuwa katika ile list of shame,Lowasa alikuwa ndie kinara wao.
Padre Slaa,akawakimbia chadema na kusema kwamba hatajihusisha na shughuli za siasa Kwa chama chochote.
Katika Hali ya kushangaza Wilbroad slaa akaonekana kuwa partner mkubwa na RAFIKI wa mwendazake kiasi Cha kufikia hatua ya kupewa ubalozi wa Canada.
Wilbroad Slaa aliuchukua ubalozi na kuwahakikishia chadema na wapinzani kuwa hatogeuka nyuma na hata pale ambapo viongozi wa Chadema walipokamatwa na serikali ya mwendazake na kufungwa alisema kuwa kwenye suala la ugaidi viongozi wao wanahusika pia.
Soo baada ya mwendazake kwendazake na Mh Samia Suluhu kushika Dola,kazi hiyo ya ubalozi baada ya kustaafu wilbroad slaa hakupewa nafasi kwenye Regime ya Samia Hali iliyopelekea yeye kuwa ni mfa Njaa na mwenye kutapa tapa asijue wapi Kwa kushika,wapinzani alishawasaliti na CCM hawakuwahi kumkubali.
Lilipokuja Sakata la DP World Wilbroad Slaa akaibuka mafichoni kuanza kuimba ngonjera ile Kwa kutumia platform ya wanaharakati i.e Mwabukusi na Mdude,Hali ambayo ilimfanya taratibu taratibu aaanze kujipenyeza na kurudi machoni mwa WATANZIA ambao alishawaambia kuwa yeye na siasa bye bye.
Cha kushangaza,hivi Sasa Wilbroad Slaa amejiingiza kwenye harakati za siasa za chadema na kuonekana kila kwenye maandamano ya chadema huku akiimba slogans za people's power na katiba mpya.
Ni ukweli uso na shaka kuwa Wilbroad Slaa na Chadema ndoa Yao imerejea,lakini swali ni kwamba lini wameliweka wazi suala la kuunganisha nguvu wawili wao?na sababu za msingi ni zipi??
Wilbroad Slaa anaonesha wazi wazi ni mstaafu aliekula fedha zake za mafao hadi pensheni kiasi Cha kufikia kutanga Tanga na kukosa uhakika wa maisha.
CHADEMA na Wilbroad Slaa mnadhani watanzania ni wajinga wa kuwaonesha dharau za kiwango Hiko??
So Jiwe ndiye alikuepusha na chanjo ila siyo akili zako, so ndiyo wamaanisha?Kwa kutuepusha na chanjo ya papa ni shujaa ππ
Ni mtu muoga ,mnafiki na muongo sanaUnafikiri Slaa angekuwa mtu asiyependa mabadiliko na mwenye ubinafsi kama unavyoeleza angehangaikia nini mitaani huko wakati yeye tayari alishakuwa balozi? Si angelala tu ale pension yake?
Kipi kugumu hapo kuhangaika na police na kuwekwa ndani au kusifia CCM na kula pension? Kumbuka pia Slaa amepokonywa ubalozi kwa kuzungumzia swala ka DP. Je bado unafikiri Slaa anawahadaa watanzania?
Aliwaepusha Watanzania na baraka za Nguru πSo Jiwe ndiye alikuepusha na chanjo ila siyo akili zako, so ndiyo wamaanisha?
Siasa ni kama pynyeto ukianza uachi,slaa ana njaa like wise kikwete wote wamestaafu ila wapo tu siasani,siasa huwa hakuna kustaafuFriends and Our Enemies,
Sote tuna Kumbuka namna ambavyo Padre wilbroad slaa alivyokihama chama Hiko Cha chadema Kwa mbwembwe na mikogo na kusema kwamba Hawezi kukaa meza Moja na Fisadi Papa ambae by that time alikuwa anamaamisha ni marehem Lowasa.
Slaa aliweka wazi wazi kwamba hakushiriki dhambi hiyo la kumkaribisha mwizi na mla rushwa kwenye chama Cha chadema na kwamba yeye hawezi kula matapishi Yale aliyotapika kipjndi kile pale mwembe yanga kuwa katika ile list of shame,Lowasa alikuwa ndie kinara wao.
Padre Slaa,akawakimbia chadema na kusema kwamba hatajihusisha na shughuli za siasa Kwa chama chochote.
Katika Hali ya kushangaza Wilbroad slaa akaonekana kuwa partner mkubwa na RAFIKI wa mwendazake kiasi Cha kufikia hatua ya kupewa ubalozi wa Canada.
Wilbroad Slaa aliuchukua ubalozi na kuwahakikishia chadema na wapinzani kuwa hatogeuka nyuma na hata pale ambapo viongozi wa Chadema walipokamatwa na serikali ya mwendazake na kufungwa alisema kuwa kwenye suala la ugaidi viongozi wao wanahusika pia.
Soo baada ya mwendazake kwendazake na Mh Samia Suluhu kushika Dola,kazi hiyo ya ubalozi baada ya kustaafu wilbroad slaa hakupewa nafasi kwenye Regime ya Samia Hali iliyopelekea yeye kuwa ni mfa Njaa na mwenye kutapa tapa asijue wapi Kwa kushika,wapinzani alishawasaliti na CCM hawakuwahi kumkubali.
Lilipokuja Sakata la DP World Wilbroad Slaa akaibuka mafichoni kuanza kuimba ngonjera ile Kwa kutumia platform ya wanaharakati i.e Mwabukusi na Mdude,Hali ambayo ilimfanya taratibu taratibu aaanze kujipenyeza na kurudi machoni mwa WATANZIA ambao alishawaambia kuwa yeye na siasa bye bye.
Cha kushangaza,hivi Sasa Wilbroad Slaa amejiingiza kwenye harakati za siasa za chadema na kuonekana kila kwenye maandamano ya chadema huku akiimba slogans za people's power na katiba mpya.
Ni ukweli uso na shaka kuwa Wilbroad Slaa na Chadema ndoa Yao imerejea,lakini swali ni kwamba lini wameliweka wazi suala la kuunganisha nguvu wawili wao?na sababu za msingi ni zipi??
Wilbroad Slaa anaonesha wazi wazi ni mstaafu aliekula fedha zake za mafao hadi pensheni kiasi Cha kufikia kutanga Tanga na kukosa uhakika wa maisha.
CHADEMA na Wilbroad Slaa mnadhani watanzania ni wajinga wa kuwaonesha dharau za kiwango Hiko??
CcImewapumbaza wasiojitambua na kuwa mazezeta huku viongozi wake wakijitajirisha.
Siasa ni mchezo mchafuHilo jambo siyo la kulifumbiq macho na kulichukulia poa, Wilbroad Slaa alihama chadema na kuwakashifu kuwa ni mafisadi Kwa kumkaribisha Lowasa,Leo hii anaonekana front akiwa na makamanda kwenye maandamano ya chama,lini karudi Rasmi kwenye chama?
Uolewe sasa ili upunguze gubu.Friends and Our Enemies,
Sote tuna Kumbuka namna ambavyo Padre wilbroad slaa alivyokihama chama Hiko Cha chadema Kwa mbwembwe na mikogo na kusema kwamba Hawezi kukaa meza Moja na Fisadi Papa ambae by that time alikuwa anamaamisha ni marehem Lowasa.
Slaa aliweka wazi wazi kwamba hakushiriki dhambi hiyo la kumkaribisha mwizi na mla rushwa kwenye chama Cha chadema na kwamba yeye hawezi kula matapishi Yale aliyotapika kipjndi kile pale mwembe yanga kuwa katika ile list of shame,Lowasa alikuwa ndie kinara wao.
Padre Slaa,akawakimbia chadema na kusema kwamba hatajihusisha na shughuli za siasa Kwa chama chochote.
Katika Hali ya kushangaza Wilbroad slaa akaonekana kuwa partner mkubwa na RAFIKI wa mwendazake kiasi Cha kufikia hatua ya kupewa ubalozi wa Canada.
Wilbroad Slaa aliuchukua ubalozi na kuwahakikishia chadema na wapinzani kuwa hatogeuka nyuma na hata pale ambapo viongozi wa Chadema walipokamatwa na serikali ya mwendazake na kufungwa alisema kuwa kwenye suala la ugaidi viongozi wao wanahusika pia.
Soo baada ya mwendazake kwendazake na Mh Samia Suluhu kushika Dola,kazi hiyo ya ubalozi baada ya kustaafu wilbroad slaa hakupewa nafasi kwenye Regime ya Samia Hali iliyopelekea yeye kuwa ni mfa Njaa na mwenye kutapa tapa asijue wapi Kwa kushika,wapinzani alishawasaliti na CCM hawakuwahi kumkubali.
Lilipokuja Sakata la DP World Wilbroad Slaa akaibuka mafichoni kuanza kuimba ngonjera ile Kwa kutumia platform ya wanaharakati i.e Mwabukusi na Mdude,Hali ambayo ilimfanya taratibu taratibu aaanze kujipenyeza na kurudi machoni mwa WATANZIA ambao alishawaambia kuwa yeye na siasa bye bye.
Cha kushangaza,hivi Sasa Wilbroad Slaa amejiingiza kwenye harakati za siasa za chadema na kuonekana kila kwenye maandamano ya chadema huku akiimba slogans za people's power na katiba mpya.
Ni ukweli uso na shaka kuwa Wilbroad Slaa na Chadema ndoa Yao imerejea,lakini swali ni kwamba lini wameliweka wazi suala la kuunganisha nguvu wawili wao?na sababu za msingi ni zipi??
Wilbroad Slaa anaonesha wazi wazi ni mstaafu aliekula fedha zake za mafao hadi pensheni kiasi Cha kufikia kutanga Tanga na kukosa uhakika wa maisha.
CHADEMA na Wilbroad Slaa mnadhani watanzania ni wajinga wa kuwaonesha dharau za kiwango Hiko??
Shame on himMbona babu Makamba ni mdini wa waziwazi hatujakuona ukilalamika? acha atumie uhuru wake. shame on you