Will Smith amtandika kibao Chris Rock usiku wa tuzo za Oscar

Will Smith amtandika kibao Chris Rock usiku wa tuzo za Oscar

Spartacus boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,727
Reaction score
3,464
Utani mbaya. Mc mkali wa huko Usa Chris rock kajikuta na aibu baada ya kupigwa kibao na Mshindi wa tuzo ya Oscar ; Will smith baada ya kumtania mkewe Jada pinkett smith.

Utani mbaya ulomfanya Smith anyenyuke toka alipokaa hadi mbele ya stage na kumpiga bonge la bao.

Alivorudi kukaa Smith akamuambia '' Get out my wife's name out of your fxxking mouth''

Aisee. Uzi tayari
IMG_20220328_083727.jpg

 
Ila Will ame catch kirahisi sana,itakuwa yule mwanamke amemwambia "Yaani mimi nataniwa we unachekelea tu hapa" jamaa ikabidi akatae unyonge.

Jada amemshika jamaa pabaya sana,anapenda kupitiliza aisee,

Hadi namuonea huruma mshkaji amekuwa kana bwege flani hivi
 
Ila Will ame catch kirahisi sana,itakuwa yule mwanamke amemwambia "Yaani mimi nataniwa we unachekelea tu hapa" jamaa ikabidi akatae unyonge.
Jada amemshika jamaa pabaya sana,anapenda kupitiliza aisee,Hadi namuonea huruma mshkaji amekuwa kana bwege flani hivi
Kumbe hata ulaya wanaume wanashikwa pabaya,ingekuwa huku kwetu wangesema tayari kashalishwa mauchafu au karogwa...
 
Ila Will ame catch kirahisi sana,itakuwa yule mwanamke amemwambia "Yaani mimi nataniwa we unachekelea tu hapa" jamaa ikabidi akatae unyonge.
Jada amemshika jamaa pabaya sana,anapenda kupitiliza aisee,Hadi namuonea huruma mshkaji amekuwa kana bwege flani hivi
Aisee hata mimi ningekung'oa meno kadhaa ya barazani, huo unaouita ubwege ndiyo uanaume wenyewe sasa.
 
Back
Top Bottom