babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Hawezi kufanya hivyo,ameona tu braza kapanic tu.Kakataa ku press charge
Udayuthi.Sawa will kaact kiubaba baba, lakini kabla ya hili tukio naona kama will huyu mwanamke anampelekesha kidogo, kibongo bongo tunasema will hapindui kwa jada.
Kuna msanii wa bongo aliimba hata akimkuta kitandani anaifinyia kwa ndani hamuachi, siikumbuki nyimbo.
Hii ni FAMILY GUY...not THE SIMPSONSAnother prediction from Simpsons [emoji23][emoji23] View attachment 2167442
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahHawezi kufanya hivyo,ameona tu braza kapanic tu.
Hata pale alikana Bro i mean G1 Jane Bro.[emoji16]
Jamaa ndo kwanza kampigia mikelele achana na mke wangu kwenye domo lako chafu hilo.
Nimependa Chris kawa mpole tu.
Sawa braza simtaji tena[emoji23][emoji23][emoji23].
Hii ni FAMILY GUY...not THE SIMPSONS
Si huyu mwanamke alitoka hadharani na kusema amecheat kwa mumeweAisee hata mimi ningekung'oa meno kadhaa ya barazani, huo unaouita ubwege ndiyo uanaume wenyewe sasa.
For the info wapo kwenye open relationship na sehemu ya makubaliano ni kila mmoja kuwa na ruhusa ya kutoka nje ya ndoa so mambo ya kucheat hayapo hapa unamuonea tu dada wa watu.Si huyu mwanamke alitoka hadharani na kusema amecheat kwa mumewe
Smith kashikiliwa hapindui hageuzi
Sana sana amejiaibisha mwenyewe Jada sio mwanamke wa kumtetea kihivyooo
Smith alitaka kuprove watu wrong na attention pia....amefanikiwa then what
The whole family ni weird
Chris ndio mshindi hakutaka kujiabisha alipotezea Smith amebaki kuomba msamaha huku na kule
Smith is a spoiled brat period!
Mkuu Inaonekana hata mkeo akishikwa tako hadharani utaapply level of maturity sio?Sina hakika kama Chris alifanya βbad jokeβ
Lakini nina uhakika kwamba Willy Smith kakosea sana kwa jinsi alivyo handle issue
Kwa namna yoyote ile sioni sababu za msingi za mtu kaliba ya Willy Smith ku react kwa violence ya kiwango kile huku akijua fika dunia nzima inaangalia tukio lile
Chris ni mchekeahaji na alichofanya ndivyo wachekeshaji hufanya na kwa bahati mbaya kikikugusa usipopenda huwa inauma
Inawezekana kabisa Chris hakuwa anajua tatizo la Jada, na hata kama anajua bado haihalalishi kabisa Smith kufanaya utoto ule kwa level ya maturity aliokuanayo
Nadhani hata angekuwa kimya ungesema bwege acha kuwa bingwa wa reverse mzee.Kamwambia saa ngapi wakati alikaa na Lupitha Nyong'o?Ila Will ame catch kirahisi sana,itakuwa yule mwanamke amemwambia "Yaani mimi nataniwa we unachekelea tu hapa" jamaa ikabidi akatae unyonge.
Jada amemshika jamaa pabaya sana,anapenda kupitiliza aisee,
Hadi namuonea huruma mshkaji amekuwa kana bwege flani hivi
Mwenye kufanya kosa ameomba msamaha baada ya kubaini amefanya kosa kubwa sana ambalo halina namna yoyote unaweza kulihalalisha........... case closedMkuu Inaonekana hata mkeo akishikwa tako hadharani utaapply level of maturity sio?
Hahaha kabisaaSaa hizi Chris Rock akimuudhi kidogo tu mtoto wake mdogo, utamsikia mtoto huyo akisema, baba ntakusemea kwa Will Smith akufanye tena kama kwenye usiku wa tuzo za Oscar
Ila Will ame catch kirahisi sana,itakuwa yule mwanamke amemwambia "Yaani mimi nataniwa we unachekelea tu hapa" jamaa ikabidi akatae unyonge.
Jada amemshika jamaa pabaya sana,anapenda kupitiliza aisee,
Hadi namuonea huruma mshkaji amekuwa kana bwege flani hivi