Mkuu tatzo sio wakenya ama waganda bal n cc wenyewe....tunazengua haswaa....watanzania kwa sasa watatoa info.na Kupga kelele kwenye issue ya viongoz na wanasiasa...kumbe information kama hiz tulipaswa cc watanzania tuz spreed kwa Kas na nguvu kubwa..salaleeeee hata aibu hawanaaa this is too much kabisa hasa hawa jamaa Zetu pande za Nai mbna sijawaiona Mtz Akisema Victor Wanyama katoka Tz hebu jifunzeni kusifia vya kwenu na sio vya jirani,Mount Kilimanjaro,Diamond,Darasa,Presidaa,Serengeti national park,Sammata hao tiyari mlitaja wa kwenu.
hatimaye hata mm mtasema nimetoka Nai.
IL dunian watambue tanzania tupo na waongezeke na kukuza sector ya utalii... Nackia wakna mareh stv jobs, na Tajiri bil gate walishawah kufka hapa ila watanzania kwa upeo wetu mdogo tuna value siasa zaid kuliko maisha mengne...poor tanzania