Yellow bone
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 256
- 329
Mkuu...hatuwezi kuwa na magomvi na misifa ya ajabu..kila siku natembea nchi tofauto za africa...lakin waafrica tumekuwa kama nguruwe...waafrica tunachukiana sisi kwa sisi...uonevu sisi kwa sis lakin ukiangalia mantik ya kwanini tunakuwa hivi unaona hakuna..wote wapuuzi tu...povu la omo
Kweli kabisaAcha ujinga, hizi nchi watu hawana mahindi wengine wanatembea matako wazi afu unaita giants,East Africa haina giants, ni maskini wanaotofautiana viwango
kasema ukweli kabisa...Mkuu...hatuwezi kuwa na magomvi na misifa ya ajabu..kila siku natembea nchi tofauto za africa...lakin waafrica tumekuwa kama nguruwe...waafrica tunachukiana sisi kwa sisi...uonevu sisi kwa sis lakin ukiangalia mantik ya kwanini tunakuwa hivi unaona hakuna..wote wapuuzi tu...
Juzi nikiwa natoka south africa...nilipita zambia.eti wazambia nao wanawanyanyasa watz wakat wao wenyewe wanategemea kila kitu toka kwetu...hii ni aibu..ifike mahali tipendane na upendo unaanza mimi na wewe..tuache chuki za kijinga...
nchi inalinganishwa utajiri kwa per capita income pamoja na GDP ila ile ya GDP sio reliable sana...kwa hiyo unaposema mijengo sijui wamaanisha nini...sasa uchumi za Kenya na Ethiopia zote zipo juu ukanda huu..the two true giants in EAKweli kabisa
...hakuna giant..wote maskin wakutupwa..tunadanganyana na vigorofa vya ajabu mtu akiona ghrofa ndefu basi anasema nchi yangu tajir..kwanini usijenge la kwako?sis waafrica watu wa ajabu sana
Unajua hii economic war iko mainly on the Tanzanian side. I am sure many Kenyans dont care or compare themselves to tanzania, however you tanzanians seem obsessed na Kenya. We see your as our fatter(bigger population) smaller sis.
The best way to look at it is through the media.walahi umesema kweli sana...most kenyans look to either what Nigeria or SA is doing..or maybe oversees nations....you will not see a kenyan bother with this tz thing...maybe you see it in the news..one thing I noticed abt kenyans is that they are quite boastful...they dont look at countries that are behind them..
kwa hili la trade war nadhani ni upuuzi toka nchi zote mbili...ila ukija kwa hii ya media sidhani kama unasema ukweli mkuu...The best way to look at it is through the media.
Angalia media za Tanzania, huwa hazina habari na mambo ya Kenya. Ila media za Kenya, kila siku Tanzania this ... Kenya that... Giants ... logistics this, infrastructure that ..
Huwezi kusikia Ethiopia wakipiga domo, au Mozambique. Ni wakenya tu, kelele every day. Plus they are not as smart, they will soon give up this trade war, it's not the first time. They lost on tourism, now they struggling on the other front.
Tachapwa tu! Subirini muone!
Wewe pull articles za newspapers, Tv programs with discussions, Trade sectretaries talking s#it, utaona wengi ni wakenya. Halafu ni either waongo au misinformed/educated individuals. Mnakuza sana mambo.kwa hili la trade war nadhani ni upuuzi toka nchi zote mbili...ila ukija kwa hii ya media sidhani kama unasema ukweli mkuu...
nakubaliana na hilo la kuongeza value kwa bidhaa...yaani tunafaa tuwache kugiza bidhaa toka EU...tunaumia sana wakati wananufaika...Wewe pull articles za newspapers, Tv programs with discussions, Trade sectretaries talking s#it, utaona wengi ni wakenya. Halafu ni either waongo au misinformed/educated individuals. Mnakuza sana mambo.
Hizo LPG huwa zinakuwa packaged in Tanzania na kufungwa Tanzania. That is value addition kama ambavyo ngano nayo inavyokuwa added value na Azam. It provides employment.
Badala ya kukuza value addition by facilitating trade of Eastern Africa's value adde products, nyie mnaleta ujuha kalulu.
So what if we order raw materials from Asia and Middle East and add value to them? Aint that better than getting finished products from EU?
Ofcos the lpgs have to packaged in cylinders, not by any other means, that is not the issue. But the quality of every good coming to Kenya has to be assessed for quality and genuinness.Wewe pull articles za newspapers, Tv programs with discussions, Trade sectretaries talking s#it, utaona wengi ni wakenya. Halafu ni either waongo au misinformed/educated individuals. Mnakuza sana mambo.
Hizo LPG huwa zinakuwa packaged in Tanzania na kufungwa Tanzania. That is value addition kama ambavyo ngano nayo inavyokuwa added value na Azam. It provides employment.
Badala ya kukuza value addition by facilitating trade of Eastern Africa's value adde products, nyie mnaleta ujuha kalulu.
So what if we order raw materials from Asia and Middle East and add value to them? Aint that better than getting finished products from EU?
The best way to look at it is through the media.
Angalia media za Tanzania, huwa hazina habari na mambo ya Kenya. Ila media za Kenya, kila siku Tanzania this ... Kenya that... Giants ... logistics this, infrastructure that ..
Huwezi kusikia Ethiopia wakipiga domo, au Mozambique. Ni wakenya tu, kelele every day. Plus they are not as smart, they will soon give up this trade war, it's not the first time. They lost on tourism, now they struggling on the other front.
Tachapwa tu! Subirini muone!
Ati media za Kenya..hehee.hakuna news zozote kuhusu tz huku.infact mambo mengi tunayatolea uku jf naeza kuhakikishia most Kenyans don't even know your opposition leader.muache kujidanganyaThe best way to look at it is through the media.
Angalia media za Tanzania, huwa hazina habari na mambo ya Kenya. Ila media za Kenya, kila siku Tanzania this ... Kenya that... Giants ... logistics this, infrastructure that ..
Huwezi kusikia Ethiopia wakipiga domo, au Mozambique. Ni wakenya tu, kelele every day. Plus they are not as smart, they will soon give up this trade war, it's not the first time. They lost on tourism, now they struggling on the other front.
Tachapwa tu! Subirini muone!
eti 'the two East African giants?"......the only east African giants are Ethiopia and Kenya...
Ajabu kwenye forum za Wanaijeria na South Afrika wanawadharau Kenya kwa kupenda kwao kujilinganisha na kila taifa au mji wa Afrika.Na Wakenya tu ndio wanaopenda kujipendekeza Forum za wenzao.walahi umesema kweli sana...most kenyans look to either what Nigeria or SA is doing..or maybe oversees nations....you will not see a kenyan bother with this tz thing...maybe you see it in the news..one thing I noticed abt kenyans is that they are quite boastful...they dont look at countries that are behind them..
Mkuu kila forum za nchi nyingine na kihere here cha kujiona bab kubwa!jamaa wa ajabu sana hawa!Ajabu kwenye forum za Wanaijeria na South Afrika wanawadharau Kenya kwa kupenda kwao kujilinganisha na kila taifa au mji wa Afrika.Na Wakenya tu ndio wanaopenda kujipendekeza Forum za wenzao.
Na zaidi SA na Naija wanajua kwamba Mkubwa wa E.Africa ni TZ
Alafu wanapondwa na kudharauliwa hawasikii. Laiti ya kwamba wangefikia level ya South Africa tusingekaa kwa amani.Mkuu kila forum za nchi nyingine na kihere here cha kujiona bab kubwa!jamaa wa ajabu sana hawa!
Ati media za Kenya..hehee.hakuna news zozote kuhusu tz huku.infact mambo mengi tunayatolea uku jf naeza kuhakikishia most Kenyans don't even know your opposition leader.muache kujidanganya
They dont? Ethiopia huwa in crisis any time kuna drought. Actually they need a lot of aidEthiopia don't have hunger like Kenya though...[emoji115] [emoji23]
Mkuu umeongea point kubwa sana. Wakenya ndouandika Tanzania lakini sisi media zetu hazina upuuzi huo. Kuna blog moja ya Kenya niliingia ilikuwa imejaa wakikuyu wanaongelea Tanzania. Nilianza na mmoja baada yamwingine wakakimbia walipojua ni TZ. Blog zao wanatuongelea sana vibaya hawa watu. Namwisho wao utakuwa mbaya trust me. Let us be yourself,tutafika.