Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hahahah! You know im super busy in dowtown driving my super Noah with full AC,
no time for uswekeni life you know.
no time for uswekeni life you know.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kazi kwenu watu wa Mtera. Mnapewa ushauri huku, mpige chini Bajaji mchukue Scania la China.Salamu kwako Lemutu Baharia.
Nakushauri 2025 chukua fomu ya ubunge kwa chama utakachoamua katika jimbo la Mtera.
Asubuhi na mapema kabla jua halijachomoza, utakuwa umempiga chini Lusinde.
Uonyeshe njia na koneksheni vijana wa Mtera waende USA.
Endeleza legacy ya Mzee Malecela alipoishia.
Hakuna wa kumuweza paleHakuna wa kumshinda Kibajaji Mvumi labda akatwe jina lake
Kwanza Kibajaji anajua kuongea hao wengine Domo zegeHakuna wa kumuweza pale
Zengwe analijua.....
Sasa atoke mtu ambaye hata watu hawamjui wamchague
Ova
Hawamuwezi huyo kibajajiKwanza Kibajaji anajua kuongea hao wengine Domo zege
Kwa staili aliyoasisi yule dhalim CCM hata wakisimamisha kenge anapita tuHuko kumjuwa kwenyewe hawamjui
Ova
Tumo wote humo kwenye age, ni kwa vile masharti ya JF yanasema kama hutaki wakujue inabaki hivyo. Lakini ungemjua Chakaza ungeishia kucheka maana kuna wakati mna piga vitu pamoja, ila huyu mzee mwenzetu sio kabisa na sio mfano bora wa kuigwa na vijana wetu.Mimi naishi hapa kwa Mtogole, nimepanga ubazi mzima.
Kazi ni kazi, bora mkono uende kinywani!. Huyu ni age mate wangu sisi wa 60's hivyo tumeisha bypass age ya kuvurugwa!.
P
naunga mkono Bwana Msimila,humo bungeni yamejaa mavilaza wengi.yanajaza ukumbi tu bila tija.tukimaliza na huyo pia twende kwa msukuma.Naunga mkono hoja, campaign manager Davis, mimi nasimamia kitengo cha publicity, kwa kuanzia tunapiga bonge la fund rising ya kufa mtu kwa jina la "Komboa Mvumi Campaign", kale kajamaa, kanakwenda chini mapema asubuhi by saa 4:00 wanaume tunamaliza kazi kwa funga kazi!
P.
Le mbebezi hawezi shinda hata ujumbe wa mtaa
Ile public life yake na real life ni vitu viwili tofauti, in real life jamaa ni mtu poa sana, kwanza hanywi pombe, havuti sigara, na wale ma babez ni pose tuu za snaps, nothing more, ana a very good exposure inayohitajika bungeni!.ila huyu mzee mwenzetu sio kabisa na sio mfano bora wa kuigwa na vijana wetu.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Unaumia nn sasa?William Malecela umeamua kuja kivingine? Peleka uduanzi wako huko! Tumechoka na kuwa na wabunge vichaa toka Mtera tuu kwa miaka 10 mnataka mtuingizie mwingine tena miaka 5? Why Mtera pekee ndio iwe inaleta machizi?
Kazi yako ya upambe kwa matajiri mjini na kuwakuwadia vimwana mbona inakutosha?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app