Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
inashangazaSasa hiyo ndio inazuia mtu asife?
Reaction za wabongo kwenye misiba zinawezafanya mtu uangue kicheko uonekane umefurahia marehemu kufa
Noma, ule mwili ulikuwa mkubwa sanaHeart attack
si juzi tuh alitukanwa na mwanae
ni sawa piaSawa basi tufanye hajafa
Ndo nini hiyoCardiosis, cardiology issues ni hatari life span yake ni rehema zake Mungu tu