Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,603
- 13,654
Daah ....umri ule halafu misiba inamuandama tu.Kuna ipy, kuna mwingine mdogo km nakumbuka vizuri alikua msela sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah ....umri ule halafu misiba inamuandama tu.Kuna ipy, kuna mwingine mdogo km nakumbuka vizuri alikua msela sana
Nilikuelewa sana, ila sentensi yako ilitaka kusema mzee Malecela anazika tu watoto wake yeye personally hafi 🙆🙆Namzungumzia Mzee malecela babake lemutuz....huyu Kama sikosei wa tatu anafariki.. dadake le mutuz mwele amefariki Kama miaka miwili iliyopita
nimeeleweka tu vibaya mkuu. Lakini nimemaanisha Mzee amepoteza watoto wengi. Inasikitisha SanaNilikuelewa sana, ila sentensi yako ilitaka kusema mzee Malecela anazika tu watoto wake yeye personally hafi 🙆🙆
Sahihi mkuu.JF tumefiwa, ni moja ya watu waliotuvutia wengi humu enzi hizo. Alivyorudi Bongo aliishi maisha tofauti lakini kwa ambao tunakumbuka mijadala yake tunajua uwezo wake kwenye hoja.
Rest in peace brother [emoji120]
nimeeleweka tu vibaya mkuu. Lakini nimemaanisha Mzee amepoteza watoto wengi. Inasikitisha Sana
Tuwe na utuDah! Rest in peace le kubwa jingaz.
Le Mutuz alikuwa na zaidi ya miaka 60 kumbuka kwenye historia yake ya maisha alisema aliingia USA enzi za utawala wa Ronald Reagan na Kabla ya hapo alikuwa Belgium 5 yrs.sidhani kama 37 years ni umri umeenda
Kwenye colestro hapo nafikiri unaweza kuitoa Kwa mazoez na lishe au sio?Magonjwa ya moyo yako mengi
Wengine umeme wa moyo unazingua
Wengine wana cholestrol kwenye moyo na hizi ndo hupelekea heart attack
Wengine mapigo ya moyo hayamaliz vizuri
Wengine moyo umetoboka
Yapo mengi hayo ni baadhi
And he was very humble man. Watu tuliotembelea kiwanda cha cigar pale LA Habana tunamuelewa sana. RIP comrade.Duh,Apumnzike kwa amani. Huyu alikuwa anakula good time na Wabebez. Ila maisha yanazidi kunifundisha kuwa Humble.
Sidhani kama watawaza,,,,,,Nimewaza wale Wanawe walomtukana tuu,sijui Wana Hali Gani!
Mi nilishakutana nae sana enzi za ujana....he was full of life...to be honest story yake ya watoto nimeijiua miaka ya hiv karibuni....sijui Kwa nini aliamua kuwapa mgongo....anyways...R.I.PNgoja nione huu msiba utapokelewaje
Na upande ule...
Pole sana familia ya lemutuz....nakumbuka tu
Kipindi kile tulivyokuwa tunakutana
Mitaa ya food point namanga na kupiga stori 2,3 ila nasikitika tu mpaka
Umekufa,hukujuwa kama ulikuwa una bongo na mrangi wa jf
Ova
Dah hizi njugu, boosters na minjingu ni nzuri ukitafuna ukiwa na 30s na 40s. Ukifisha 50s na 60s zinaelemewa overwhelmed.
nyboma King Kong III